Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Shukrani sana mkuu.... hebu waite na wale jirani zako tafadhali!!!!!
ha ha ha karibu.thanks jirani yangu wa Mbezi Luis...ubarikiwe sana sana!!!
Hivi Beibe Nasty mbona hakuji hapa kuvote, au anataka apelekewe hardy copy huko aliko....
inabidi dad wako aongeze nguvu ya ziada maana naona pale nafasi ulopewa ya upendeleo watu roho zawauma hata kupiga kura,naona arabela anavyokimbiza...kila la heri mamiii
Nimetoka huko soon ku vote for her.
Tunategemea ushindi tu.
kwani nani anabisha bana kuwa cl ndo miss december??? Hahahahahah vote for cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl haaaaaaaaa asipopewa wallahi naandamana had jf headquarter fast jet ipo
Kipenz hiz dawa nazilaaani kwakweli aaaah. Halaf kipenz mbona nimeweka jf desktop mode bt haikubali kwenye kuvote baaaana itake isitake jaman mi ndo nshavoteee hapa ni cl cl cl cl we evelyn mwana wa salt upo wapiiii?? MekumissWatu weweeeeeeeeeererrrreeeweeee.... kuya ukunywe beer zako hapa JB BELMONT!!!!!!!!
Kipenz hiz dawa nazilaaani kwakweli aaaah. Halaf kipenz mbona nimeweka jf desktop mode bt haikubali kwenye kuvote baaaana itake isitake jaman mi ndo nshavoteee hapa ni cl cl cl cl we evelyn mwana wa salt upo wapiiii?? Mekumiss
Kipenz hiz dawa nazilaaani kwakweli aaaah. Halaf kipenz mbona nimeweka jf desktop mode bt haikubali kwenye kuvote baaaana itake isitake jaman mi ndo nshavoteee hapa ni cl cl cl cl we evelyn mwana wa salt upo wapiiii?? Mekumiss
sijui kama imekubali maaana
Kujua kama imekubali, jaribu kufungua tena hiyo thread ya kupiga kura, ukiona hauwezi kuviona vile vishimo vya kuchagua mshiriki na vile vile kutakua na maneno "You have already voted on this poll" hapo jua kuwa ushapiga kura tayari...
usijali daughter, tutapigana hadi dakika ya mwisho hadi jasho letu la mwisho. Mungu na atutangulie!