JF Miss CHITCHAT 2012: VOTE for CHARMINGLADY

JF Miss CHITCHAT 2012: VOTE for CHARMINGLADY

101041.gif


Me lavyuu saana my daddy watu8!!!!!!!

inabidi dad wako aongeze nguvu ya ziada maana naona pale nafasi ulopewa ya upendeleo watu roho zawauma hata kupiga kura,naona arabela anavyokimbiza...kila la heri mamiii
 
Last edited by a moderator:
Nimetoka huko soon ku vote for her.
Tunategemea ushindi tu.
 
inabidi dad wako aongeze nguvu ya ziada maana naona pale nafasi ulopewa ya upendeleo watu roho zawauma hata kupiga kura,naona arabela anavyokimbiza...kila la heri mamiii

Ni kweli bidada.... pamoja na hayo kura yako ni muhimu sana kwangu!!!!!
 
kwani nani anabisha bana kuwa cl ndo miss december??? Hahahahahah vote for cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl haaaaaaaaa asipopewa wallahi naandamana had jf headquarter fast jet ipo
 
kwani nani anabisha bana kuwa cl ndo miss december??? Hahahahahah vote for cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl cl haaaaaaaaa asipopewa wallahi naandamana had jf headquarter fast jet ipo

Watu weweeeeeeeeeererrrreeeweeee.... kuya ukunywe beer zako hapa JB BELMONT!!!!!!!!
 
Watu weweeeeeeeeeererrrreeeweeee.... kuya ukunywe beer zako hapa JB BELMONT!!!!!!!!
Kipenz hiz dawa nazilaaani kwakweli aaaah. Halaf kipenz mbona nimeweka jf desktop mode bt haikubali kwenye kuvote baaaana itake isitake jaman mi ndo nshavoteee hapa ni cl cl cl cl we evelyn mwana wa salt upo wapiiii?? Mekumiss
 
Kipenz hiz dawa nazilaaani kwakweli aaaah. Halaf kipenz mbona nimeweka jf desktop mode bt haikubali kwenye kuvote baaaana itake isitake jaman mi ndo nshavoteee hapa ni cl cl cl cl we evelyn mwana wa salt upo wapiiii?? Mekumiss

Jamani wewe nenda basi kwa jirani utumie dadavuzi mpakato!!!!!!!!!!
 
Kipenz hiz dawa nazilaaani kwakweli aaaah. Halaf kipenz mbona nimeweka jf desktop mode bt haikubali kwenye kuvote baaaana itake isitake jaman mi ndo nshavoteee hapa ni cl cl cl cl we evelyn mwana wa salt upo wapiiii?? Mekumiss

Nipo tu mtaani ma dia, mith u.....
 
sijui kama imekubali maaana

Kujua kama imekubali, jaribu kufungua tena hiyo thread ya kupiga kura, ukiona hauwezi kuviona vile vishimo vya kuchagua mshiriki na vile vile kutakua na maneno "You have already voted on this poll" hapo jua kuwa ushapiga kura tayari...
 
Kujua kama imekubali, jaribu kufungua tena hiyo thread ya kupiga kura, ukiona hauwezi kuviona vile vishimo vya kuchagua mshiriki na vile vile kutakua na maneno "You have already voted on this poll" hapo jua kuwa ushapiga kura tayari...

Swadakta daddy.... Asante kwa juhudi zako!!!
 
Back
Top Bottom