Hello!
Leo ndio ile siku ya kujua wasanii waliofanya vizuri katika tasnia ya muziki Tanzania kwa mwaka 2024.
Tuzo hizi zimeandaliwa na wanachama wa jf ku represent jukwaa letu hili la jamii.
Washindi wa vipengele mbalimbali wamepatikana kutokana na utafiti na ukusanyaji wa maoni mbalimbali kutoka kwa wadau na wasikilizaji wa mziki Tanzania.
Hivyo tuzo hizi ni fursa kwa Wanajamii forum mwakani kuja na tukio halisi la utoaji wa tuzo hizi, hii ni pamoja na kutoa fursa kwa wadau mbalimbali kuwekeza kwenye tuzo hizi ili zije kuwa kubwa kwa ukanda huu wa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla.
Bila kupoteza muda, tuone washindi wetu katika vipengele mbalimbali.
1. MSANII BORA WA KIUME AFRIKA KWA 2024.
Washindani kwenye nafasi hii walikuwa ni;
a) Black Sherif
b) Davido
c) Mr. Eazi
d) Diamond Platinum
e) Burna boy
f) Mr. P
g) RJ Kanierra
Na mshindi kwa kipengele hicho ni: DAVIDO
2. MSANII BORA WA KIKE AFRIKA 2024
Washindani walikuwa ni;
a) Qing Madi
b) Ayra Star
c) Yemi Alade
d) Tiwa Savage
e) Tems
f) Tyla
g) Sho Madjozi
Na mshindi ni: TIWA SAVAGE
3. WIMBO BORA WA MWAKA AFRIKA KUTOKA KWA MSANII WA KIUME
washiriki walikuwa ni:
a) Away by Davido
b) Higher by Burna boy
c) Shut up by Black Sherif
d) Tshwala bam by TitoM, Yuppe ft Burna Boy
e) Marhaba by Kizz Daniel
f) Winning by Mr. P
g) Azaman by Rema
h) Lela by RJ Kanierra
i) Komasava by Diamond Platinum
Na mshindi wa wimbo bora wa mwaka Afrika ni TSHWALA BAM ya TITOM, YUPPE FT BURNA BOY
4. WIMBO BORA WA MWAKA AFRIKA KUTOKA KWA MSANII WA KIKE
Na washiriki ni;
a) Tomorrow by Yemi Alade
b) American love by Qing Madi
c) Commas by Ayra star
d) Kilimanjaro by Tiwa Savage
e) Love me JeJe by Tems
f) Kadigong by Sho Madjozi
g) Water by Tyla
Na mshindi wa wimbo bora wa mwaka Afrika kutoka kwa msanii wa kike ni WATER by Tyla.
5. WIMBO BORA WA GOSPEL KUTOKA KWA MSANII WA KIKE
Washindani walikuwa ni nyimbo zifuatazo;
a) Huniachi by Rehema Simfukwe
b) Mungu mmoja by Bella Kombo ft Evelyn Wanjiru
c) Nipe number by Rose Muhando
d) Jehovah by Angel Bernad
e) Ni Mungu ametaka by Matha Mwaipaja
Ni mshindi ni wimbo wa MUNGU MMOJA wa BELLA KOMBO
6. NYIMBO BORA YA GOSPEL KUTOKA KWA MSANII WA KIUME
Na nyimbo zilizoingia kwenye kinyang'anyiro ni;
a) Ni wewe by Stewart Mwakasege ft Obby Alpha
b) Nitaamini by Israel Mbonyi
c) Niokoe by Obby Alpha
d) Nafasi by Paul Clement ft Bella Kombo
e) You got me by Joel Lwaga
f) Sijawahi ona by Walter Chilambo
Na mshindi ni wimbo wa YOU GOT ME by JOEL LWAGA
7. MWANAMUZIKI BORA AFRIKA MASHARIKI
Waliopo kwenye kinyang'anyiro ni;
a) Kaligraph John
b) Marioo
c) Mr. Bien
d) Diamond Platinum
e) Otile Brown
f) Bluce Melody
g) Harmonize
Na mshindi katika kipengele hicho ni msanii DIAMOND PLATINUM kutoka Tanzania.
8. MSANII BORA WA KIKE TANZANIA 2024.
Washindani katika kipengele hiki ni;
a) Maua Sama
b) Zuchu
c) Nandy
d) Lulu Diva
e) Saraphina
Na mshindi ni ZUCHU kutoka WCB
9. MSANII BORA WA KIUME BONGO FLEVA
Washindani katika kipengele hiki ni;
a) Jux
b) Harmonize
c) Diamond Platinum
d) Mario
e) Ali Kiba
f) Barnaba Classic
g) Mbosso
Na mshindi ni msanii HARMONIZE
10. MSANII BORA WA KIUME MIONDOKO YA RAP
Na washindani ni wasanii wafuatao;
a) Young Lunya
b) Darassa
c) G Nako
d) Moni Centrozone
e) Fid Q
f) Fido Vato
g) Roma Mkatoriki
Na msanii bora miondoko ya rap Tanzania ni DARASSA.
11. WIMBO BORA WA BONGO FLEVA;
Na washindani ni nyimbo zifuatazo;
a) 2025 by Marioo ft Stan
b) Nisiulizwe by Jux
c) Ujana by Harmonize
d) Nibusu by Barnaba Classic ft Yammi
e) Baridi by Jay Melody
f) Hatare by Ali Kiba ft Jay Melody
Na mshindi wa wimbo bora wa bongo fleva ni wimbo wa NIBUSU wa msanii Barnaba Classic ft Yammi
12. WIMBO BORA WA KUSHIRIKIANA BONGO FLEVA
Na washiriki katika kipengele hiki ni;
a) 2025 by Marioo ft Stans
b) Hatari by Ali Kiba ft Jay Melody
c) Mapozi by Diamond Platinum ft Jay Melody & Mr. Blue
d) Usemi sina by Nandy ft Harmonize
e) Far away by Geniusjini x66 ft Jay Melody
Na mshindi ni wimbo wa HATARI WA ALI KIBA FT JAY MELODY.
13. WiMBO BORA WA AMAPIANO
a) Mbinguni by Fid Q ft Chino kid
b) Ova by Mbossokan
c) Ololufe Mi by Jux ft Diamond Platinum
d) Fallen angel by Ali kiba ft Billnass
e) Siji by Zuchu
f) Komasava by Diamond Platinum
g) Hakuna matata by Marioo
Na mshindi ni wimbo wa HAKUNA MATATA wa Marioo
14. WIMBO BORA WA AMAPIANO WA KUSHIRIKIANA
Washindini ni miziki ifuatavyo
a) Mwakitale by Chino Kid ft Rich Mavoko
b) Ololufe mi by Jux ft Diamond Platinum
c) Wenyewe Maboss by Billnass ft Jux
c) Komasava by Diamond Platinum ft Jason Derulo
d) Fallen angel by Ali kiba ft Billnass
e) Disconnect by Harmonize ft Marioo
f) Sensema by Rayvany ft Harmonize
Na mshindi ni wimbo wa OLOLUFE MI wa JUX FT DIAMOND PLATINUM
Leo ndio ile siku ya kujua wasanii waliofanya vizuri katika tasnia ya muziki Tanzania kwa mwaka 2024.
Tuzo hizi zimeandaliwa na wanachama wa jf ku represent jukwaa letu hili la jamii.
Washindi wa vipengele mbalimbali wamepatikana kutokana na utafiti na ukusanyaji wa maoni mbalimbali kutoka kwa wadau na wasikilizaji wa mziki Tanzania.
Hivyo tuzo hizi ni fursa kwa Wanajamii forum mwakani kuja na tukio halisi la utoaji wa tuzo hizi, hii ni pamoja na kutoa fursa kwa wadau mbalimbali kuwekeza kwenye tuzo hizi ili zije kuwa kubwa kwa ukanda huu wa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla.
Bila kupoteza muda, tuone washindi wetu katika vipengele mbalimbali.
1. MSANII BORA WA KIUME AFRIKA KWA 2024.
Washindani kwenye nafasi hii walikuwa ni;
a) Black Sherif
b) Davido
c) Mr. Eazi
d) Diamond Platinum
e) Burna boy
f) Mr. P
g) RJ Kanierra
Na mshindi kwa kipengele hicho ni: DAVIDO
2. MSANII BORA WA KIKE AFRIKA 2024
Washindani walikuwa ni;
a) Qing Madi
b) Ayra Star
c) Yemi Alade
d) Tiwa Savage
e) Tems
f) Tyla
g) Sho Madjozi
Na mshindi ni: TIWA SAVAGE
3. WIMBO BORA WA MWAKA AFRIKA KUTOKA KWA MSANII WA KIUME
washiriki walikuwa ni:
a) Away by Davido
b) Higher by Burna boy
c) Shut up by Black Sherif
d) Tshwala bam by TitoM, Yuppe ft Burna Boy
e) Marhaba by Kizz Daniel
f) Winning by Mr. P
g) Azaman by Rema
h) Lela by RJ Kanierra
i) Komasava by Diamond Platinum
Na mshindi wa wimbo bora wa mwaka Afrika ni TSHWALA BAM ya TITOM, YUPPE FT BURNA BOY
4. WIMBO BORA WA MWAKA AFRIKA KUTOKA KWA MSANII WA KIKE
Na washiriki ni;
a) Tomorrow by Yemi Alade
b) American love by Qing Madi
c) Commas by Ayra star
d) Kilimanjaro by Tiwa Savage
e) Love me JeJe by Tems
f) Kadigong by Sho Madjozi
g) Water by Tyla
Na mshindi wa wimbo bora wa mwaka Afrika kutoka kwa msanii wa kike ni WATER by Tyla.
5. WIMBO BORA WA GOSPEL KUTOKA KWA MSANII WA KIKE
Washindani walikuwa ni nyimbo zifuatazo;
a) Huniachi by Rehema Simfukwe
b) Mungu mmoja by Bella Kombo ft Evelyn Wanjiru
c) Nipe number by Rose Muhando
d) Jehovah by Angel Bernad
e) Ni Mungu ametaka by Matha Mwaipaja
Ni mshindi ni wimbo wa MUNGU MMOJA wa BELLA KOMBO
6. NYIMBO BORA YA GOSPEL KUTOKA KWA MSANII WA KIUME
Na nyimbo zilizoingia kwenye kinyang'anyiro ni;
a) Ni wewe by Stewart Mwakasege ft Obby Alpha
b) Nitaamini by Israel Mbonyi
c) Niokoe by Obby Alpha
d) Nafasi by Paul Clement ft Bella Kombo
e) You got me by Joel Lwaga
f) Sijawahi ona by Walter Chilambo
Na mshindi ni wimbo wa YOU GOT ME by JOEL LWAGA
7. MWANAMUZIKI BORA AFRIKA MASHARIKI
Waliopo kwenye kinyang'anyiro ni;
a) Kaligraph John
b) Marioo
c) Mr. Bien
d) Diamond Platinum
e) Otile Brown
f) Bluce Melody
g) Harmonize
Na mshindi katika kipengele hicho ni msanii DIAMOND PLATINUM kutoka Tanzania.
8. MSANII BORA WA KIKE TANZANIA 2024.
Washindani katika kipengele hiki ni;
a) Maua Sama
b) Zuchu
c) Nandy
d) Lulu Diva
e) Saraphina
Na mshindi ni ZUCHU kutoka WCB
9. MSANII BORA WA KIUME BONGO FLEVA
Washindani katika kipengele hiki ni;
a) Jux
b) Harmonize
c) Diamond Platinum
d) Mario
e) Ali Kiba
f) Barnaba Classic
g) Mbosso
Na mshindi ni msanii HARMONIZE
10. MSANII BORA WA KIUME MIONDOKO YA RAP
Na washindani ni wasanii wafuatao;
a) Young Lunya
b) Darassa
c) G Nako
d) Moni Centrozone
e) Fid Q
f) Fido Vato
g) Roma Mkatoriki
Na msanii bora miondoko ya rap Tanzania ni DARASSA.
11. WIMBO BORA WA BONGO FLEVA;
Na washindani ni nyimbo zifuatazo;
a) 2025 by Marioo ft Stan
b) Nisiulizwe by Jux
c) Ujana by Harmonize
d) Nibusu by Barnaba Classic ft Yammi
e) Baridi by Jay Melody
f) Hatare by Ali Kiba ft Jay Melody
Na mshindi wa wimbo bora wa bongo fleva ni wimbo wa NIBUSU wa msanii Barnaba Classic ft Yammi
12. WIMBO BORA WA KUSHIRIKIANA BONGO FLEVA
Na washiriki katika kipengele hiki ni;
a) 2025 by Marioo ft Stans
b) Hatari by Ali Kiba ft Jay Melody
c) Mapozi by Diamond Platinum ft Jay Melody & Mr. Blue
d) Usemi sina by Nandy ft Harmonize
e) Far away by Geniusjini x66 ft Jay Melody
Na mshindi ni wimbo wa HATARI WA ALI KIBA FT JAY MELODY.
13. WiMBO BORA WA AMAPIANO
a) Mbinguni by Fid Q ft Chino kid
b) Ova by Mbossokan
c) Ololufe Mi by Jux ft Diamond Platinum
d) Fallen angel by Ali kiba ft Billnass
e) Siji by Zuchu
f) Komasava by Diamond Platinum
g) Hakuna matata by Marioo
Na mshindi ni wimbo wa HAKUNA MATATA wa Marioo
14. WIMBO BORA WA AMAPIANO WA KUSHIRIKIANA
Washindini ni miziki ifuatavyo
a) Mwakitale by Chino Kid ft Rich Mavoko
b) Ololufe mi by Jux ft Diamond Platinum
c) Wenyewe Maboss by Billnass ft Jux
c) Komasava by Diamond Platinum ft Jason Derulo
d) Fallen angel by Ali kiba ft Billnass
e) Disconnect by Harmonize ft Marioo
f) Sensema by Rayvany ft Harmonize
Na mshindi ni wimbo wa OLOLUFE MI wa JUX FT DIAMOND PLATINUM