Karibu kwenye kipengele hiki kizito cha upi wimbo ulio bora na umefanya vizuri kwa wasanii wetu wa kurap Tanzania. Piga kura ili tumpate mshindi. Tuzo za Tanzania huwa zinalalamikkiwa kwa kukosa uwazi, sasa hizi atakeyekuwa na kura nyingi ndie ataibuka mshindi.
Malengo siku moja, sisi wanachama na viongozi wa JF tuje tuandae tamasha moja kubwa la kutoa tuzo kwa wasanii wote watakao kuwa wameshinda kwenye kinyang'anyiro hiki.