JF new members only

Hivi ni kweli jf ya sasa na ya zamani ni tofauti sana kama tunavyoelezwa na nyie wakongwe au ni mtazamo tu?
Jf ya zamani ilikua na michango ya maana sana, uzuri historia hazifutiki search thread za miaka hiyo 2008 huko watu walikua wanamichango ya kujenga sana...... Hata kama kulikua na masikhara ila ustaarabu ulizingatiwa.

Sio ya sasa ya kina ichwa nini sijui disgusting!!
 
Hivi ni kweli jf ya sasa na ya zamani ni tofauti sana kama tunavyoelezwa na nyie wakongwe au ni mtazamo tu?
Tofauti ipo.
1. Sasa hivi kuna vichaa wengi wamejiunga humu. Utawatambua kwa comments zao.
2. Watoto pia wamejaa humu. Kama wewe ni mtu mzima Uandishi wa kitoto utaujua tu. Zingatia neno utoto
4. Mods nao nahisi ni hawa wapya- baadhi yao wana mambo ya hovyo; mfano kufuta baadhi ya comments au threads ambazo wala hazina ubaya wowote. Zamani JF ilikuwa kweli "Where we dare to talk openly"
5. Mengine wakongwe wengine wataongezea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…