Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio vipi kukutag hukuNaomba unitag please 🙏🏾
Nakubaliana na wewe kabisa. Inasikitisha sana kwamba, Tabia za kiwendawazimu na kitoto zinazidi kuongezeka humu. Nilikimbia Facebook nikaja JF nikijua huku kutakuwa nafuuChangamoto nyingine ninayo iona kulingana hoja yako hii ni wale wanachama wa zamani kufungua I'd mpya na kujitoa ufahamu, sambamba na wapya ambao utashi wao ni mdogo kulingana na aina ya wanachama wa mtandao huu.
Jukwaa la dini linahitaji ruhusa maalum.. La wakubwa lilitumika vibaya likapigwa life banUzi mzuri sana
Je jukwaa la dini kwanini lilitolewa na vipi jukwaa la wakubwa haya majukwaa bado yapo?
Au wakwongwe ndo wana Access ya kuyaona!?
Ah OK asante Sana Kwa ufafanuzi.Jukwaa la dini linahitaji ruhusa maalum.. La wakubwa lilitumika vibaya likapigwa life ban
Nahitaji kua mod wa jfKitengo cha Kazi ama madaraka?
Nahitaji kua mod wa jfKitengo cha Kazi ama madaraka?
Ongea nae master hapo PM Maxence MeloNahitaji kua mod wa jf
tukana sana...Nawezaje kudate na mods?