JF new members only

JF new members only

Mshana yuko Fair sana, Ukiwa na mzee kama huyu !!

Unyama sana....🥂
 
Nielekezwe namna ya kupata demu mdogomdogo ndani ya jf wengi ni wazee
 
Changamoto nyingine ninayo iona kulingana hoja yako hii ni wale wanachama wa zamani kufungua I'd mpya na kujitoa ufahamu, sambamba na wapya ambao utashi wao ni mdogo kulingana na aina ya wanachama wa mtandao huu.
Nakubaliana na wewe kabisa. Inasikitisha sana kwamba, Tabia za kiwendawazimu na kitoto zinazidi kuongezeka humu. Nilikimbia Facebook nikaja JF nikijua huku kutakuwa nafuu
 
Uzi mzuri sana

Je jukwaa la dini kwanini lilitolewa na vipi jukwaa la wakubwa haya majukwaa bado yapo?

Au wakwongwe ndo wana Access ya kuyaona!?
 
Uzi mzuri sana

Je jukwaa la dini kwanini lilitolewa na vipi jukwaa la wakubwa haya majukwaa bado yapo?

Au wakwongwe ndo wana Access ya kuyaona!?
Jukwaa la dini linahitaji ruhusa maalum.. La wakubwa lilitumika vibaya likapigwa life ban
 
Nataka kujua Choo cha JF kipo upande gani? Mimi mgeni nisiearikwa, gawiza
 
unahisi kwanini jf hawana option ya ku delete thread ambayo umeianzisha mwenyewe

Je,hawajui baadhi ya thread tunazianzisha kwa influence ya POMBE?kwa nini pale tunapojutia hatuna access ya kuzifuta
 
Back
Top Bottom