JF ni kama maji lazima utayatumia tu...

JF ni kama maji lazima utayatumia tu...

Pney08

Member
Joined
Jun 22, 2019
Posts
64
Reaction score
37
Hbr zenu wanajf
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea

Aisee

Ni muda sasa (sijui ni mm tu au na wenzangu) nikigoogle vitu vingi vinatokea vya JamiiForums

Let’s say umegoogle kuhusu ajira sijui mapenZi, stories n.k basi lazima Zije thread za jf


Muda kidogo, nilikua napenda sana stories Za humu ndani na wachangiaji mada jinsi wanavyochangia (bado napenda haswa nyuzi za laura/lora kama sijakosea na za ninjamaster

Mwaka huu nikaona na mm nijiunge kabisa nisipitwe[emoji4]


Ila kinachonikera


Navyoona kama wakongwe wanachangia mada za wakongwe wenzao (wahenga)

Unakuta thread ina wiki ina comments 2, ila thread ya mkongwe kapost 2hrs ago ina comments 200


Ni hayo tu...
 
Pole hata thread yako imekosa wachangiaji
Hbr zenu wanajf
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea

Aisee

Ni muda sasa (sijui ni mm tu au na wenzangu) nikigoogle vitu vingi vinatokea vya JamiiForums

Let’s say umegoogle kuhusu ajira sijui mapenZi, stories n.k basi lazima Zije thread za jf


Muda kidogo, nilikua napenda sana stories Za humu ndani na wachangiaji mada jinsi wanavyochangia (bado napenda haswa nyuzi za laura/lora kama sijakosea na za ninjamaster

Mwaka huu nikaona na mm nijiunge kabisa nisipitwe[emoji4]


Ila kinachonikera


Navyoona kama wakongwe wanachangia mada za wakongwe wenzao (wahenga)

Unakuta thread ina wiki ina comments 2, ila thread ya mkongwe kapost 2hrs ago ina comments 200


Ni hayo tu...
 
ooh nashukuru dear, naogopa kukuhamu na mimi sikuhizi, habari za siku nyingi?
Mimi sijambo kabisaa dear

Lazima uogope najua wifi yangu ni mkali sana but mie sina madhara kabisaa aki...

Wewe nihamu tuu
 
Back
Top Bottom