Nimekubali jf kiboko acha niifagilie yaani kila kitu ukiweka unahitaji msaada au elimu ukirusha tu unapata mawazo ya wadau tofauti hadi tatizo lako linapata ufumbuzi.hiyo ndo jamii forum bana big up.kama huna akaunt ya jf fungua uone utavofaidika kwa mawazo ya watu
Naomba wadau tuchukue ht dkk 5 kushukuru wenye blog tutakuwa wachoyo wa fadhila tusipowashukuru