Jf nzito hii: Hatimaye yule member maarufu kapotea kama upepo chiii!

Jf nzito hii: Hatimaye yule member maarufu kapotea kama upepo chiii!

Sielewi elewi mkuu...wadada wa mjini wameniambia nifungue code. Nitazijulia wapi sasa.
hizi ndio code

session_start();
//echo $_SESSION['nn'];
$_SESSION['name'] = $_GET['ID'];
if (!isset($_SESSION['nn']))
{
echo "error";
die;
}


//if ($_SESSION['name']
?>

<!DOCTYPE html PUBLIC "-//W3C//DTD XHTML 1.0 Frameset//EN" "http://www.w3.org/TR/xhtml1/DTD/xhtml1-frameset.dtd">
<html xmlns="http://www.w3.org/1999/xhtml">
<head>

<meta http-equiv="Content-Type" content="text/html; charset=utf-8" />
<title>Workflow Robot</title>

<frameset rows="38,*" cols="*" framespacing="1" frameborder="no" border="1" bordercolor="#A8A8FF">
<frame src="tp.php?ID=<? if (strcmp($_SESSION['name'],$_SESSION['nn']) == 0){echo $_SESSION['name'];}?>" name="topFrame" scrolling="No" noresize="noresize" id="topFrame" title="tf" />
<frame src="mp.php" name="mainFrame" id="mainFrame" title="mf" />
<frame src="UntitledFrame-11"></frameset>
</frameset>
</head>


<noframes><body>

</body>
</noframes>
</html>
 
Aiseeee!!!
USA, UGOGONI,USHUANI,BAMIA, KINYEREZI ESTATE, DOWNTOWN JIJI LA MTOTO WA BABA.....
MJE MNIPIME MKOJO.........LE KING
 
Na utapimwa lini?
Wakinihitaji Tu wapimaji kutoka jijini hawatanichelewesha kojo lote mali yao....
Le mbebezi umeshatoka The Hunt Club?
Nimepamiss hapo kitaa ngoja Baba jeska afanye nyongeza ya mshahara japo Kwa ahadi Tu siku ya mei dei nije nijipongeze na wamabaka mabaka hapo.....
 
Uzuri ni kwamba huwezi kuwaona wanawake smart katika huu uzi.

Waliojaa kwenye uzi huu ni.
Jobless
Low iq
Desperate &
Ni malaya wa kutupwa.

Wanaume mnaosutana humu nimekosa kundi la kuwaweka
Mi niweke kundi B .Afu ivi mtu smart ndo yukoje ivi kumbe tunaonana live.
 
Mambo ni mengi mudaa mchachee chiiiiii.
Sasa ni mwendo wa codee
Hehheje[emoji23][emoji23]Ila nyie wanajf Mna vichwa vizito si yule mwana kuyataka mwana kuyapata yulee[emoji23][emoji23]

Yule kibonge chii hamnielewi yulee mwenye vita alianzisha na wadada wa jf bana bana hebuu msinichoshe hamjaelewa tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Yule msomi wetu yulee agggr jaman khaaa mavichwa yenu magumu kama nini?[emoji23]
Nasikia bhn saiv warembo hawajibu pm zake eeeh watu hawacomment nyuzi zakeee hahahhah hata wale waliomsapot mpaka kufikisha 1k reply kwenye nyuzi zake wapo juuuu mawingunii [emoji1][emoji1]

*/ Jf nzito hii nasikia mwana kuyataka mwana kuyapata ana kile kimboga tunapikia ugali watu wa singida chiiiii mtelezo.com chiiii jaman nimechoka kuandika hamuelewi tu [emoji41][emoji848][emoji848][emoji848]

Mweee nasikia kamat ya roho mbaya ilifanya kazi hehhehe jaman ukitag unakula block hapa ni mwendo wa codee chiiiiii wanajf mtabaki kuwa juuu.

Naskia alitaka kuwafelisha wanakimboka wa Jf chiii ila ikibidi wanakimboka wakamfelisha mwenyewe [emoji848][emoji848][emoji848].

Ikibidi wanakimboka waingie mawindoni ikibidi wanakimboka ikibidi mambo mengi muda mchache ikibidii mwana kuyapata mwana kuyataka chiiiii nimekosa soko mweeh [emoji23][emoji23][emoji23]

Nyongeza : Jaman siwez kuvumilia bila kuandika uzi hapa nawashwaa hatar na vidole.
Demiss nitabak kuwa juu mawinguni lamba lolo agagaaa dudu layuuuu.




Location: RUHUWIKO HUNT CLUB SONGEA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo verse ngumu kumeza, sijaelewa I'm the young thinker.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom