JF Party On My Mind

Walevi utawajua tu
 
Enzi nikiwa anonymous niliona JF party ishatokea watu 'waligongana' balaa nanii zilikutana vya kutosha

Watoto walipatikana wa kutosha,michepuko ya kudumu na ya muda mfupi hewalaa

wenye akili walidaka madili ya maana

etc etc etc
 
Naunga mkono hoja
Mimi km tajiri mkuvwa hapa Dar nitagharamia vinywaji na chakula kwa wanaJf wote watakaojitokeza

Bila kusahau couples tatu zitakazopendeza zitapata nafasi ya kupiga lunch na dinner kwenye apartment yangu iliyopo Masaki kisha watalala hapo hadi majogoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…