Iko tofauti sana na mitandao mingine ya kijamii, na kikingine ni kuwa naweza pata habari mbalimbali za muhimu bila kuhangaika na tv. majukwaa yametengenezwa kwa namna ambayo karibu kila mtu kuna sehemu atavutiwa. ni hivyo mkuu
SIASA,MMU, JOKES
NA HATUTAKUTEGA VILE VILE LABDA WWW UTUTEGEHodi humu ndani, nimekuwa natembelea jf kama guest kwa muda mfupi lakini nimeona ni kwa namna gani jf ni sehemu ambapo huwezi boreka kwa namna yoyote maana imekamilika.
Naamini hamtanitenga.
Usiogope kijanakivipi tena mkuu brigedia mafia
Mkuu umenikomalia! Im taking some time off.
Hakuna 'Burn' kuna Ban.Ila unahitajika kuwa na subira...huku kuna kitu
Burn
Kukejel kwa post yako
Kakatishwa tamaa
Asbh njmHamna wa kukutenga nipo mstari wa mbele kuwa karibu nawe.
Karibu sanaaaaaaa.
Pia kuna kukosolewa/kurekebishwaHakuna 'Burn' kuna Ban.
Mkuu umenikomalia! Im taking some time off.