Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Hakika hii kalenda ukiiweka mnadani inaweza kununuliwa maelfu ya $
Pale UDSM Libary kuna sehemu inaitwa SPECIAL RESERVE. Ukienda pale wanazo kopi za magazeti hata ya miaka ya kuanzia 1920, yaani miaka 40 nyuma ya uhuru wetu. Kuna siku walikuwa wameyaleta kwenye maonyesho nilishangaa sana. Magazeti ya kipindi cha ukoloni wanayo na huwa wanatunza nakala kila siku hadi leo hii. Wasomi nao mambo yao ni ya ajabu sana, wanaweza kukusisimua katika kiwango cha ajabu sana
Spea za pijo [emoji3][emoji3]
Fatma Karume alikua pisi kali 😍😍
Mungu ampe maisha mengiMheshimiwa wakili Peter kibatala akiwa kabebwa na wazazi wake huyo mtt ndo yy
View attachment 1967216
Mohamed Said mzee kama una nakala za zamani kama hizi tuwekee na sisi wa sasa tujionee vichwa vya habari vya zamani style yao ya uandishi.
Kuna siku nitatafuta muda nikajisomee magazeti ya kabla ya uhuru nione walichokua wanajadiliana.Pale UDSM Libary kuna sehemu inaitwa SPECIAL RESERVE. Ukienda pale wanazo kopi za magazeti hata ya miaka ya kuanzia 1920, yaani miaka 40 nyuma ya uhuru wetu. Kuna siku walikuwa wameyaleta kwenye maonyesho nilishangaa sana. Magazeti ya kipindi cha ukoloni wanayo na huwa wanatunza nakala kila siku hadi leo hii. Wasomi nao mambo yao ni ya ajabu sana, wanaweza kukusisimua katika kiwango cha ajabu sana