KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Mkuu heshama yako!.Naomba kupata picha na historia ya wazungu katika wilaya ya Urambo mkoani Tabora kama utakuwa na ufahamu nayo.Asante.View attachment 1708368
Pumzika kwa Amani Dr. Sevacius B. Likwelile
Historia tamu sana hizi.[emoji122][emoji122][emoji122]View attachment 1743149
Huyu tumbili anayeitwa Jackie, aliyepewa cheo cha Koplo baada ya Kuhudumu Kama Mwanajeshi Katika Jeshi la SA Lililoingia Vitani Miaka ya 1910.Alishonewa Sare za Kijeshi,Akiwa Vitani Jackie Alipigwa Risasi na Kuumia, Alirudi Vitani na Kufariki Mwaka 1921.Koplo Jackie alikuwa tumbili katika jeshi la Afrika Kusini wakati wa Vita ya kwanza ya dunia 1910s. Alifanywa mascot wao wakati mmiliki wake Albert Marr alipoandikishwa kwenda vitani, na asingemuacha Jackie nyumbani, ilikuwa lazima afuatane naye.Jackie alipata majeraha wakati wa vita kama vile kupigwa risasi begani na kupigwa risasi nyingine katika mguu wa kulia. Jackie alifundishwa kupiga saluti kila alipomuona afisa mkuu wa kikosi.Baada ya vita Jackie alipewa heshima kwa ushirika wake, na akapewa medali ya huduma ya wananchi wa Pretoria, baadaye akafa kwa kuungua na moto nyumbani, ilikuwa ni miaka kadhaa baada ya kutoka vitani.View attachment 1743151View attachment 1743153
Dah!Kweli dunia na rangi nyeusi,tumepitia mengi.
Copy n paste. Mama ya snoop alikuwa na xerox kabisa
Menu ya enzi hizo,kuku 500View attachment 1832021
Hii chuma bado mali sana,nikiipata kama hii kwa familia imekaa poa sana.Hazipo tena hizi kwenye mzunguko wa kawaidaView attachment 1982736
Kama alijua atakufa kwanini alienda huko?Picha ya mwisho kupiga Mwalimu Nyerere katika Maisha yake
Wakati Leo CCM inasherekea miaka 45 ya kuzaliwa Kwa Chama hicho,
Leo nimeamua kukuletea picha ya mwisho ya Mwalimu Nyerere,
Picha unayoiona hapo Chini ndio picha ya mwisho kupigwa na Mwalimu enzi za uhai wake,
Picha hii ilipigwa tarehe 17 September 1999 saa tatu na dakika ishirini za Tanzania,
muda mfupi kabla ya baba wa taifa kupanda ndege kuelekea London -Uingereza kwa matibabu,
hii ndiyo picha yake ya mwisho kupiga akiwa hai hapa duniani,
" Ninajua nitakufa sitapona nawaomba watanzania waipende nchi yao waipende Kama wanavyowapenda mama zao maana hawana nchi nyengine".
Huu ulikua wosia wa mwisho wa BABA WA TAIFA kwa Taifa lake.
Pumzika kwa amani Mwalimu Nyerere Baba wa Taifa la Tanzania.
View attachment 2108857
Aisee,inawezekana hata hayo maneno hakuyasema,CCM hawaminiki hasa nikikumbuka yaliyosemwa siku za mwisho za Mwendazake.Kifo kilikuwa kinamuita na asingeweza kukataa wito
Aisee,inawezekana hata hayo maneno hakuyasema,CCM hawaminiki hasa nikikumbuka yaliyosemwa siku za mwisho za Mwendazake.[emoji23]Aisee,inawezekana hata hayo maneno hakuyasema,CCM hawaminiki hasa nikikumbuka yaliyosemwa siku za mwisho za Mwendazake.
PM-Yupo mzima anapitia mafaili ofisini
Makamu-Kukaguliwa afya ni kawaida yupo mzima
Baadae tukaambiwa mara aliendesha ibada dakika za mwisho,sijui akaongea maneno mengi,kwahio kuamini nakua mzito kidogo.