Elephant manRexton Rawlston Fernando Gordon (aliyezaliwa 17 Januari 1966), anayejulikana zaidi kwa jina lake la kisanii Shabba Ranks, ni mwanamuziki wa dancehall wa Jamaika. Mwishoni mwa miaka ya 1980 na mwanzoni mwa miaka ya 1990, alikuwa mmoja wa wanamuziki maarufu wa Jamaika ulimwenguni.
View attachment 2485388
Ni Mtoro na sio MtoloNi Ramadhan mtolo ongala,alikua na gari akaliandika(unalicheka Baba yako analo) nakumbuka welu welu bar apo kiwalan akifanya mambo yakeView attachment 2591403