Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
HeeView attachment 1524386
1979 ndege ya Jeshi iliyopata ajali katika maonyesho uwanja wa Taifa baada ya vita ya kagera
View attachment 1524389View attachment 1524390
Mnara wa Kumbukumbu ya Cpt Said Karama na Cpt Aballah Kikunda mahali ndege hio ilipoanguka
Nadhan hii 1972 ndio jk alimaliza UDSMView attachment 1521343
Graduation UDSM 1975
Kambona na MondlaneView attachment 1521891
Sokoine na Mondlane
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimeziona hizo like tu Mkwepu style ningeshangaa usingetia neno[emoji1][emoji1]
Tumetoka mbali sana. Ngoja nitafute na zile kura zilizokua hazina hata picha zina Jembe, Nyundo nk[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nadhan hii 1972 ndio jk alimaliza UDSM
Sir Jayantilal Keshavji "Andy" Chande KBE.View attachment 1523203
Miaka kadhaa baadae..... Sijui mwaka gani??
Kambona na Mondlane
Sir Jayantilal Keshavji "Andy" Chande KBE.
A knight in Africa: A journey From Bukene
Jamani [emoji1751][emoji26]Ndio ilikua kupokea mashujaa wa vita sasa wakati wa maonyesho ikapata hitilafu na Rubani alijitahidi sana isiangukie ndani ya uwanja kwakua ulikua full ingekua maafa akaidondoshea nje ya uwanja mmoja alishindwa ku eject na parashuti akafia humo mwingine ali eject ila alitua vibaya alikuja kukutwa juu ya mti maeneo ya kariakoo kama sikosei. Walikufa kishujaa na mazishi yao yaliongozwa na Mzee Rashid Kawawa
Saluti to the fallen Heroes[emoji24][emoji24]
View attachment 1524418
Kwahiyo ulikua hujawahi kusikia hio habari?
Hizo habari sio za kweli.View attachment 1524412
Kitwana Kondo alikua mcheza ngoma mzuri sana. Inasemekana wakati wa mapambano ya uhuru alikua anakaa nje ya Jengo la Yanga pale wakati vikao vinaendelea ndani(Mwalimu na wanachama wengine) yeye anacheza ngoma na wenzake pale basi mkoloni anajua kuna ngoma tu pale kumbe ndani kuna mipango ya kumng'oa arudi kwao Uingereza
Kitwana Kondo alikuja kuwa Meya wa Dar es Salaam
Kuna uzi wa selfika nimekutag.Hizo habari sio za kweli.
Kitwana Kondo hakuwa mpigania uhuru bali alikuwa upande wa mkoloni.
Kitwana Kondo KK
Alikuwa Special Branch(Kachero/Tiss)wa Serikali ya kikoloni kazi yake pamoja na mambo mengine ni kupeleka taarifa za kishushushu na harakati za Tanu kwa Bwana Gavana Sir Richard Tunbull pale Government House(Ikulu)