JF Scheduled Maintenance: June 13, 2020

Hujaelewa swali lake mkuu. Anataka kujua ni kwann kila ikifika au kukaribia kipindi cha uchaguzi JF inazimwa?
Hakuuliza hivyo, lakini nimhakikishie kuwa hakuna kitu kama hicho. 2015 tuliposhambuliwa tulitoa taarifa na maandalizi ya sasa ni katika kuhakikisha hali hiyo haijirudii
 
2015 kabla ya Uchaguzi hukuona maintenance notice kama hii. Hata hivyo, after the incident tulitoa taarifa ya kilichotokea na tulichofanya kukabiliana na mashambulizi yale.
 
Natamani mabadiliko haya yangewezekana kutokea.
1. Kuwe na dislike button
2. Member aweze kubadilisha jina (ID),
Vyote hivyo vimeishatolewa maelezo. Hata hivyo, namba moja(dislike button) ipo. Ila mimi nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanapinga kitufe hiki. Mpaka sasa bado nina msimamo huo.
==
Mkuu, Melo, na jopo zima la ukarabati nawatakia kila la heri kwenye ukarabati huu mnaoenda kuufanya masaa kadha yajayo.
 
🀣 🀣 🀣 leo ndo najua, good
 
Safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…