- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
- Thread starter
-
- #41
Hakuuliza hivyo, lakini nimhakikishie kuwa hakuna kitu kama hicho. 2015 tuliposhambuliwa tulitoa taarifa na maandalizi ya sasa ni katika kuhakikisha hali hiyo haijirudiiHujaelewa swali lake mkuu. Anataka kujua ni kwann kila ikifika au kukaribia kipindi cha uchaguzi JF inazimwa?
2015 kabla ya Uchaguzi hukuona maintenance notice kama hii. Hata hivyo, after the incident tulitoa taarifa ya kilichotokea na tulichofanya kukabiliana na mashambulizi yale.Melo nina uzoefu na chaguzi mara nyingi unasema tutaweka miundo mbinu kadha wa kadha sasa najiuliza melo alisema anaweka ulinzi wa mtandao lakini ifikifika wakati wa uchaguzi utashangaa taarifa ,jamani kutokana na kadhia hii na hii mtandao haukuwa hewani rejea uchaguzi wa 2015
Sithubutu tena mkuu wangu. I hope ulinielewa kuwa nia haikuwa mbaya
Sithubutu tena mkuu wangu. I hope ulinielewa kuwa nia haikuwa mbaya
Thanks melo good night2015 kabla ya Uchaguzi hukuona maintenance notice kama hii. Hata hivyo, after the incident tulitoa taarifa ya kilichotokea na tulichofanya kukabiliana na mashambulizi yale.
Hawa ndio mapopo wa humu wanakesha bar hadi kuvunja miguu .jokeWadau wangu wa usiku wa manene leo siku ni fupi simiss Saint Anne No Escape Goddess Juakali jr Drizzle Rowin Mjep yna2 mtu chake Iceberg9 Ncha Kali Jurjani troublemaker chiqutitta fyddell YOUNGBLOOD Kataskopos dah list ni ndefu mta watag na wengine
Halafu kale ,Bia yetu nahisi kamekula ban mbona hakaonekaniKuna kajamaa kakuitwa USSR mnakaonea kinoma punguzeni basi
Natamani mabadiliko haya yangewezekana kutokea.
1. Kuwe na dislike button
2. Member aweze kubadilisha jina (ID),
πππ Hao ni wachache tu list ni ndefu mno ukitaka uwone utawakuta usiku wa manane saa 6 huko mpaka mida mibovu nk..Hawa ndio mapopo wa humu wanakesha bar hadi kuvunja miguu .joke
Vyote hivyo vimeishatolewa maelezo. Hata hivyo, namba moja(dislike button) ipo. Ila mimi nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanapinga kitufe hiki. Mpaka sasa bado nina msimamo huo.Natamani mabadiliko haya yangewezekana kutokea.
1. Kuwe na dislike button
2. Member aweze kubadilisha jina (ID),
π€£ π€£ π€£ leo ndo najua, goodVyote hivyo vimeishatolewa maelezo. Hata hivyo, namba moja ipo. Ila mimi nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanapinga kitufe hiki. Mpaka sasa bado nina msimamo huo.
==
Mkuu, Melo, na jopo zima la ukarabati nawatakia kila la heri kwenye ukarabati huu mnaoenda kuufanya masaa kadha yajayo.
Wakuu,
Leo usiku wa manane, kati ya saa 8 na saa 10, tutakuwa na marekebisho kadha wa kadha katika miundombinu yetu yanayoweza kupelekea kusimama kwa baadhi ya huduma (na wakati flani huduma zote kusimama).
Hii ni katika kuimarisha zaidi miundombinu yetu na kuongeza uwezo wa kuhimili mikikimikiki yoyote inayoweza kutokea. Zoezi hili liliwahi kufanywa miaka 2 iliyopita lakini safari hii linatarajiwa kuchukua takribani dakika 30 hadi saa 1.
Tunapenda kutoa taarifa hii mapema ili mtu akiona kuna vitu haviko sawa muda huo asishtuke; ajue tupo kazini.
Endapo kutatokea lolote linalohitaji kushirikishana, tunaomba fuatilia kurasa zetu za Telegram - JamiiForums na Twitter - https://twitter.com/JamiiForums
Tunawashukuru kwa ushirikiano wenu katika kufanikisha zoezi hili.
/ Jamii Forums