sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Hii ni kwa sababu kichwa(ubongo) wao hauongozi systems nyingine za mwili.Je wajua mende anaweza kuishi mda mrefu tu hata bila kichwa atakufa kwa njaa tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kwa sababu kichwa(ubongo) wao hauongozi systems nyingine za mwili.Je wajua mende anaweza kuishi mda mrefu tu hata bila kichwa atakufa kwa njaa tuu
Nawaza tu size ya moyo wa mwanamieleka The Great KhaliJe wajua size ya ngumi yako sawa na size ya moyo wako
wakikujibu nitagiNiliambiwa "hakuna ndoto inayozidi 60seconds yani dakika moja"....Nishatafuta ukweli wa hiyo fact nimekosa.Kama kuna anae jua hili anipe source.
Ni kweli..Je wajua kitendo cha kupiga chafya moyo husimamisha mapigo kwa mda huo
Pia mende anaweza kuishi kwa miaka mi2 bila ya kunywa majiJe wajua mende anaweza kuishi mda mrefu tu hata bila kichwa atakufa kwa njaa tuu
Duh!Je wajua watt mapacha ni rahis zaid kuuwawa na radi
Pumbu, mkono, na vidole vya mikono havilingani (kwangu)Haswa Hilo hilo, Kuna viungo huwa havifanani aisee, Mimi hata miguu nikivaa kiatu lazima nibanwe kimoja kipwaye
Kweli kabisaPumbu, mkono, na vidole vya mikono havilingani (kwangu)
Usimsahau na Big Show nae🤣🤣Nawaza tu size ya moyo wa mwanamieleka The Great Khali
Namba 3 Hapo siiamini Sana ila kwenye sikio nakubali.Iko hivyo yani.
Kiujumla viungo vyote vya mwili ambavyo vipo bilateral (yaani viwili viwili) huwa vinatofautiana kwenye ukubwa na nafasi.
1. Figo ya kulia ipo chini kuliko figo ya kushoto kutokana na uwepo wa Ini.
2. Sikio lako moja ni dogo na jengine kubwa.
3. Mkono na mguu wako mmoja ni mrefu kuliko mwengine.
4. Katika mapafu yako, pafu la kushoto ni dogo kuliko la kulia.
Kila kitu kina sababu yake, ila kiimani tunasema "Binadamu hajakamilika"
Hahaha,,,, flat eartherFact : Hakuna mtu aliyeenda Mwezini wala Dunia haizunguki.