Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Haha, sawa mkuu, ameipata... Ova!Hahaha ahsante rafiki
mpe sana Hi
mwambie hapa bravo one
ninafanya mishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha, sawa mkuu, ameipata... Ova!Hahaha ahsante rafiki
mpe sana Hi
mwambie hapa bravo one
ninafanya mishe
Kweli kabisaYour mind can sense someone staring at you even while asleep
Sipendi kwakweliMen usually gets bored during shopping with their wifes or girlfriends after just 26 minutes...ukute wife hajamaliza shopping halafu wewe ushaanza kununa, nakuruhusu tu utangulie nyumbani nendelee na shopping zangu[emoji1787]
Labda kama atm card ya kwako mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣Men usually gets bored during shopping with their wifes or girlfriends after just 26 minutes...ukute wife hajamaliza shopping halafu wewe ushaanza kununa, nakuruhusu tu utangulie nyumbani nendelee na shopping zangu🤣
Unakaa pembeni unakunywa coffee unamwacha mwenzi aenjoy shopping yakeSipendi kwakweli
Very trueOur expectations can create significant stress when they don't match up to reality. Social media can greatly contribute to this: you compare your own worst moments to others' best moments, which very often are filtered to seem perfect
Hata kama ni ya kwako unatakiwa unisubiri nimalize kununua kila ninachotaka🤣Labda kama atm card ya kwako mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣
Haha,hivi lakini huwa mnafanya nini?...kuna mtu alisema wanaume wanaenda dukani kununua vitu walivyopanga kununua,lakini wanawake wanaenda kununua vitu watakavyovikuta huko[emoji23][emoji23] no wonder wanachelewa kumaliza.Unakaa pembeni unakunywa coffee unamwacha mwenzi aenjoy shopping yake
Mwanamke akikienda shopping au sokoni atanunua hata ambavyo vipo nje ya bajeti as long we find them interested, ndio maana unakuta mtu ukipanga kwenda shopping unahakikisha una hela ya kutosha kama bajeti ni 5k inabidi ubebe extra 5k kwa ajili ya yatakayojitokeza, halafu siku hizi naona wadada wengi wanakereka na shopping za kufanyiwa maana unakua limitation au unapangiwa, ila ukiwa na hela yako unajiachia wala hakuna wa kukununia😅😅Haha,hivi lakini huwa mnafanya nini?...kuna mtu alisema wanaume wanaenda dukani kununua vitu walivyopanga kununua,lakini wanawake wanaenda kununua vitu watakavyovikuta huko[emoji23][emoji23] no wonder wanachelewa kumaliza.
HahahaMwanamke akikienda shopping au sokoni atanunua hata ambavyo vipo nje ya bajeti as long we find them interested, ndio maana unakuta mtu ukipanga kwenda shopping unahakikisha una hela ya kutosha kama bajeti ni 5k inabidi ubebe extra 5k kwa ajili ya yatakayojitokeza, halafu siku hizi naona wadada wengi wanakereka na shopping za kufanyiwa maana unakua limitation au unapangiwa, ila ukiwa na hela yako unajiachia wala hakuna wa kukununia[emoji28][emoji28]