JF special thread kwaajili ya Facts

Je wajua kitendo cha kupiga chafya moyo husimamisha mapigo kwa mda huo
Ni kweli..

Na unapozuia chafya kuna uwezekano:

1. Macho yakatoka nje.

2. Mishipa ya damu ya puani kupasuka hivyo kupelekea damu kuvuja puani.

3. Presha inaweza kuongezeka kwenye ubongo (intra-cranial pressure) jambo linaloweza kupelekea kuvilia damu ndani ya ubongo (intra-cerebral haemorrhage)

4. Msuli unaotenganisha kifua na tumbo unaofahamika kitaalamu kama diaphragm kuchanika.
 
Haswa Hilo hilo, Kuna viungo huwa havifanani aisee, Mimi hata miguu nikivaa kiatu lazima nibanwe kimoja kipwaye
Pumbu, mkono, na vidole vya mikono havilingani (kwangu)
 
Namba 3 Hapo siiamini Sana ila kwenye sikio nakubali.
Hata sura yenyewe imekaa upande kidogo Yani Kuna upande mmojawapo umeingia ndani kuliko upande mwingine.
Kuna wengine ukiwaangalia straight kutoka mbele unaona Kama jicho moja liko juu jingine liko kwa chini kumbe Ni sura ndo imekaa upande.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…