Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
πππHaya basi mkiwa mmepewa break na mbusus muwe mnakuja kuchangamsha uzi
Ah wee ukitaka kujui huu uongo wee kaoe mwanamke ambaye kwao kuna ugonjwa wa kichaaaA maximum time a woman can keep secret is 47 hours and 15 minutes
π π π π Did you know, kuanzia Friday ni furahi day? π Hi π
Hehehe! ππΎ ππΎ ππΎHahaha wee wikend ndio muda wakudemka na kunyemka na mbususu baada ya mihangaiko ya wiki nzima.
Vipi wee shem hakusumbui sumbui kuhusu mbususu?
Sasa mkifika hatua ya ndoa ni hatua ya kuambiana ukweli maana hata akificha utakuja kujua kwa sababu ukioa tayari wewe ni mwanafamilia na utakua unajumuika na wanafamilia kwa hiyo hata kama kuna siri utajua tuAh wee ukitaka kujui huu uongo wee kaoe mwanamke ambaye kwao kuna ugonjwa wa kichaaa
Ata si hivyo, kuna wasee flani huwa nawatia adabu siku hizi, but sijasahau uzi wa kuelimishana! Mambo poa lakini?Hi, welcome back from furahi day, so you guys ikifika furahi day mnasahau kabisa kwamba kuna uzi hapa
Hiyo siri utakuja kujua baadae na sio ndani ya hayo masaa yaliyotajwa hapo juu.Sasa mkifika hatua ya ndoa ni hatua ya kuambiana ukweli maana hata akificha utakuja kujua kwa sababu ukioa tayari wewe ni mwanafamilia na utakua unajumuika na wanafamilia kwa hiyo hata kama kuna siri utajua tu
All goodAta si hivyo, kuna wasee flani huwa nawatia adabu siku hizi, but sijasahau uzi wa kuelimishana! Mambo poa lakini?
It depends lakini sioni sababu ya kuficha jambo ambalo hata baadae likigundulika litaleta madhara, ni bora ukasema mapema mtu akafanya maamuzi kuliko kupotezeana muda halafu unakuja kugundua, by the way if you trully love a woman, kuna baadhi ya family history haziwezi kuwa kikwazoHiyo siri utakuja kujua baadae na sio ndani ya hayo masaa yaliyotajwa hapo juu.
Yeye mjinga akwambie ukweli akijua kabisa utambwagaπ€£π€£π€£π€£π€£
Wee basi wakipekee wengi hayo mambo hawataji kabisa.It depends lakini sioni sababu ya kuficha jambo ambalo hata baadae likigundulika litaleta madhara, ni bora ukasema mapema mtu akafanya maamuzi kuliko kupotezeana muda halafu unakuja kugundua, by the way if you trully love a woman, kuna baadhi ya family history haziwezi kuwa kikwazo
Nadhani jamii zetu hazina elimu ya kutosha kuhusu mapungufu au magonjwa ya kurithi au hata ulemavu, itachukua muda sana elimu kuwafikiwa wanajamii kwa sababu serikali haijaweka mkazo na hawa wenzetu wa ustawi wa jamii wapo busy kutafuta kazi bankWee basi wakipekee wengi hayo mambo hawataji kabisa.
Ukitaka kujua society yetu ya ajabu unakuta mtoto kazaliwa tahira basi anafichwa ndani maisha yake yote. Wenzetu kwa kiwa huyo ni mwanetu basi watajaribu kadri wawezavyo wamtoe nje nae ashangae shangae ulimwengu pamoja na utahira wake.