Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Haya bana.Tena mkubwa sana Emmy.
Hahahaaa. Haya bana.
Hivyo sie wacha tuzidi kumshukuru Mshana kwa kuuleta ukweli.
Hahahaa. Sana aiseee.Kwi kwi kwi kwi LoL! Unakikubali chuo cha JF eeh!
Hehehehehehemshana kuna makopo pia humu...
kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...
huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)
lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
[emoji113] [emoji113] [emoji113]Hepi nyiu iya, jirani mzuri na mwema.
Hahaaaa.[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] watu kama nyie huwa hamkosekani
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Heri ya mwaka mpya mkuu
Kwakweli tunajijua wenyewe tu na uzuri wetuBabu hapendi tabu ujue!!!!
Nikuulize wewe hilo swali sasa!!! Mie najua wawili tuu humu, mie na mdogo wangu Shunie!!!
Hivi kaka Angel Nylon ni mkeo ukweli ukweli samahani lakiniHapana wangu ni Angel Nylon ni mara chache kumuona hapa, Miss Natafuta ni best yangu tuu
Mkuu machipukizi kibao wanapokea tongozo za wadada sipati picha kwa ulivyo ligend kama kweli umekwepa hizo tongozoImeandikwa...usimjaribu jirani yako....[emoji47] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hivi yote inatolewaje?We sinilikupa yote kabisa!
Na waume zenu...kama sio huo uzuri wenu wasingewaoaKwakweli tunajijua wenyewe tu na uzuri wetu
Ewaaaaa hilo nalo nenoNa waume zenu...kama sio huo uzuri wenu wasingewaoa
Kaka hanta upogo?Teh teh teh