Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungeweka na picha tuwaone!,au hata ungetoa mfano kwa kuandika majina yao mbali na hapo kuna mwanamke anatafutwa humu na kwa ndele za huyu njemba sidhani kama atavuka viunzi vyake!
wanajf wanaojua kuomba wakazane na maombi😀
Hivi huu si ni uchokozi.......mkuu si nilishakuacha ama.....?????
Heee hii kali
Ww unawashwa na nnkali na mamods wameiacha hao members wadhalilishwe hivi hivi
Ww unawashwa na nn
Nakutaka kimapenzihuna ling ine la kuongea?
The guy is agood psychologist, big up mshana jr , wakitaka mtu anapendwa JF unaweza ukaongoza kwa kura.Huo uliousema Mkuu ndio ukweli halisi wa wanawake walio wengi wanaopatikana jf na kama wapo nje ya ulichokiandika basi ni wachache.
Ila niwe mkweli kwa sifa hizi hii siku ya leo itakuwa nzuri humu jf japokuwa kuna wapingaji wanaojifanya kuwafahamu wanawake wa jf kwa hisia watakuja kubisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Uliniambiaga eti sina chochote mimi....si mzuri wala si mrembo. Bora nijifariji hapa na huu uzi (japo najua mie ni kenge ktk msafara wa mamba)[emoji12] [emoji12] [emoji12]Naona umefurahi kweli. Hebu nikumbushe nilikuambiaga we ni mrembo au mzuri?
...kwa jibu hili mzee umeadmit defeat kuwa umeandika pumba kishenzi![emoji2] [emoji2] [emoji2] CC : JLW
Nshampotezea mkuu...achana nae,ni mgomvi sijui kwa nn?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144][emoji23] [emoji23] [emoji23] Uliniambiaga eti sina chochote mimi....si mzuri wala si mrembo. Bora nijifariji hapa na huu uzi (japo najua mie ni kenge ktk msafara wa mamba)[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Umewakuna kweli kweli, watakupenda bure
Tayari...Asante Mshana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]