JF: The only place you can meet real beautiful women

Hakuna ukweli aliouandika hapo huyo asikupotezee muda wako kaamua kuchangamsha genge.
 
Hahahaa. Achana naye dada. Mjinga huyo hazimtoshi.

Yeye muache achanganywe na maandishi tu.

Ila kajikaza. Hahahaaaa.
 
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pengine wanaoponda ni kati ya wale waliokataliwa, vibamia ama ngangaripoa... Binafsi nimekashifiwa kwenye huu uzi.. Halafu walionikashifu ni wavulana tiamaji tiamaji
 
Khaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.

Nitawalaani.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] Daby sio kwa hasira hizo
 
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pengine wanaoponda ni kati ya wale waliokataliwa, vibamia ama ngangaripoa... Binafsi nimekashifiwa kwenye huu uzi.. Halafu walionikashifu ni wavulana tiamaji tiamaji
Achana nao ,,,nimeona ,,wana wivu wa kipuuzi kweli,,sasa wale mapovu yao tu na watuwache ,tuadeal na nyie mnaojua thamani yetu
 
Yamekukuta nini best?
 


I don't have time for Cheap Class weirdo like You who lives with his Aunty....

All I have to say is thru this song
 
Mi ndo kwanza nina miaka 21 kwanini mtu aanze kusema wote huku tuna miaka 35. Kusingiziana hata sijapenda. Mbona wao wengi ni below 25 na above 45 tunawachunia.
Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.

Nampenda sana my ex mdogo yupo mkubwa yupo mweupe yumo na mweusi pia yupo wala hapungui mahala

cc espy
 
Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.

Nampenda sana my ex mdogo yupo mkubwa yupo mweupe yumo na mweusi pia yupo wala hapungui mahala

cc espy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani unaamini nina miaka 21 kweli??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…