Hakuna ukweli aliouandika hapo huyo asikupotezee muda wako kaamua kuchangamsha genge.Angalieni sana watu mnaokutanana nao humu
Kuwa bibi sio vibaya maana kila mtu atakua babu au atakua bibi kwa wakati wake,,na haizuii mtu kuwa kwenye mitandao
Ukute hata huyu edward nae ana mapungufu mengi kuzidi hao aliowataja,,na kujisifia kulala na wanawake 43 ni sifa sasa ukute ka dudu kadogo maana hawaridhikagi watu wenye vibamia ,kulala lala hovyo na wanawake tofauti huku akianika ka **** kake kama msumari
Hajaniudhi...ila akiendelea nitamwanika hadi ka biashara kake nilikomu-inspire ka uandishi uchwara kafe.Kakuudhi nini money?
Alikuomba matumizi ya watoto?
Hahahaa. Achana naye dada. Mjinga huyo hazimtoshi.Aliekwambia money penny anawatoto 3 Nani? !
Uliwaona au ulinishika miguu wakati najifungua?!
Unatafuta vita na mimi au mtu mwengine
Dogo tubu mapema kabla sijakuchorea ramani bado tumeanza mwaka ivooo!
Vladmir Putin Joseverest huyu Dogo ataweza vita na mimi kweli?!
Hahahaa. Umeonaeeee.Nimecheka hapo Kwa Dada yangu emmyta inaonyesha kabisa hamjui alafu anasema anaishi buguruni
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pengine wanaoponda ni kati ya wale waliokataliwa, vibamia ama ngangaripoa... Binafsi nimekashifiwa kwenye huu uzi.. Halafu walionikashifu ni wavulana tiamaji tiamajiIla tu wanaume wa jf mna roho mbaya baadhi yenu,,hivi tukisifiwa kwanini hamkubali,,yaan wengine roho zimewauma kweli Kuona huu uzi ulioandikwa na Mshana,,sasa mlitaka awasifie wanaume wenzie ili iweje,,acheni hizo bana
Tukileta uzi kusifia baadhi ya wanaume mnapovuka tena hata sijui tuwafanyeje
Achana nao ,,,nimeona ,,wana wivu wa kipuuzi kweli,,sasa wale mapovu yao tu na watuwache ,tuadeal na nyie mnaojua thamani yetu[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pengine wanaoponda ni kati ya wale waliokataliwa, vibamia ama ngangaripoa... Binafsi nimekashifiwa kwenye huu uzi.. Halafu walionikashifu ni wavulana tiamaji tiamaji
Teh wacha iharibike ntaitengeneza[emoji2] [emoji2] [emoji2] unaniharibia CV ujue
Yamekukuta nini best?mshana kuna makopo pia humu...
kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...
huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)
lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
acha kupaka watu chupa kwa mgongo wa mafuta..JF ndio collection ya mi mama na mi dada iliyoshindikana uraiani, imeachika au misingo maza...age za wanawake JF ni 35 - 45. Kuliko na warembo ni Insta ambako unaona hadi picha na video zao...unamsifiaje mtu mzuri wakati ana ID fake, Avatar fake nk? Nimesharamba wanaJF almost 43, yoote ni mashangingi ila ina majina makubwa hapa...sio vizuri kuwaanika, ila wachache nitawasema:
Miss natafuta ni li tungunyema linaishi mbezi kazi yake kudanga mitandaoni, Nifal aliolewa na The bold, ana sura ila flat screen, Money penny lina watoto 3, Mamdenyi ni lialimu Arusha ndani ndani huko (usa river), emmyta ni lishangingi lipo buguruni pale sheli n.k.
Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.Mi ndo kwanza nina miaka 21 kwanini mtu aanze kusema wote huku tuna miaka 35. Kusingiziana hata sijapenda. Mbona wao wengi ni below 25 na above 45 tunawachunia.
We jamaa vipi kwani?Shangingi wa kihaya wewe hebu wachoree ramani wasomaji wa simulizi zako feki kwanza. Halafu unakana wanao 3 wenye baba zao tofauti?!! hahaha
Aoni aibu lol...anasema uongo Wa kijingaaa.Hahahaa. Umeonaeeee.
Yaani hata kutabiri kashindwa mdogo wangu lol. Anipishe mie.
Na ndio sababu nikasema nyie mnaotufahamu ndio mtakaomuumbua.
KohI love you too babe
Nini mrejesho hadidu rejea pia nitaletaWee haya tu.. Ukianza kula ndimu ulete na mrejesho [emoji124] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Acha ku mquote itapendeza zaidiHivi mama huyo wa kike au gasho?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani unaamini nina miaka 21 kweli??Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.
Nampenda sana my ex mdogo yupo mkubwa yupo mweupe yumo na mweusi pia yupo wala hapungui mahala
cc espy