JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Angalieni sana watu mnaokutanana nao humu
Kuwa bibi sio vibaya maana kila mtu atakua babu au atakua bibi kwa wakati wake,,na haizuii mtu kuwa kwenye mitandao
Ukute hata huyu edward nae ana mapungufu mengi kuzidi hao aliowataja,,na kujisifia kulala na wanawake 43 ni sifa sasa ukute ka dudu kadogo maana hawaridhikagi watu wenye vibamia ,kulala lala hovyo na wanawake tofauti huku akianika ka **** kake kama msumari
Hakuna ukweli aliouandika hapo huyo asikupotezee muda wako kaamua kuchangamsha genge.
 
Aliekwambia money penny anawatoto 3 Nani? !
Uliwaona au ulinishika miguu wakati najifungua?!
Unatafuta vita na mimi au mtu mwengine
Dogo tubu mapema kabla sijakuchorea ramani bado tumeanza mwaka ivooo!

Vladmir Putin Joseverest huyu Dogo ataweza vita na mimi kweli?!
Hahahaa. Achana naye dada. Mjinga huyo hazimtoshi.

Yeye muache achanganywe na maandishi tu.

Ila kajikaza. Hahahaaaa.
 
Ila tu wanaume wa jf mna roho mbaya baadhi yenu,,hivi tukisifiwa kwanini hamkubali,,yaan wengine roho zimewauma kweli Kuona huu uzi ulioandikwa na Mshana,,sasa mlitaka awasifie wanaume wenzie ili iweje,,acheni hizo bana
Tukileta uzi kusifia baadhi ya wanaume mnapovuka tena hata sijui tuwafanyeje
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pengine wanaoponda ni kati ya wale waliokataliwa, vibamia ama ngangaripoa... Binafsi nimekashifiwa kwenye huu uzi.. Halafu walionikashifu ni wavulana tiamaji tiamaji
 
Khaa yaani mkaoneshane picha zetu kisa mmekasirishwa... nitaua mtu ole wenu mkatumiane picha yangu mnitangaze nina bichwa kama matikiti ya Morogoro.

Nitawalaani.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] Daby sio kwa hasira hizo
 
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pengine wanaoponda ni kati ya wale waliokataliwa, vibamia ama ngangaripoa... Binafsi nimekashifiwa kwenye huu uzi.. Halafu walionikashifu ni wavulana tiamaji tiamaji
Achana nao ,,,nimeona ,,wana wivu wa kipuuzi kweli,,sasa wale mapovu yao tu na watuwache ,tuadeal na nyie mnaojua thamani yetu
 
mshana kuna makopo pia humu...

kitu kibaya kuhusu JF watu wengi, in this case wanawake wa JF wanaishi maisha ya pande mbili za sarafu...

huku jukwaani ni watakatifu (ili mshana jr na wengine wawasifie na kuwaona walimbwende haswa)

lakini jukwaa la PM ni washenzi wa tabia kuliko ushenzi wenyewe, wanafanana na hao unaowasema hawafai...
Yamekukuta nini best?
 
acha kupaka watu chupa kwa mgongo wa mafuta..JF ndio collection ya mi mama na mi dada iliyoshindikana uraiani, imeachika au misingo maza...age za wanawake JF ni 35 - 45. Kuliko na warembo ni Insta ambako unaona hadi picha na video zao...unamsifiaje mtu mzuri wakati ana ID fake, Avatar fake nk? Nimesharamba wanaJF almost 43, yoote ni mashangingi ila ina majina makubwa hapa...sio vizuri kuwaanika, ila wachache nitawasema:

Miss natafuta ni li tungunyema linaishi mbezi kazi yake kudanga mitandaoni, Nifal aliolewa na The bold, ana sura ila flat screen, Money penny lina watoto 3, Mamdenyi ni lialimu Arusha ndani ndani huko (usa river), emmyta ni lishangingi lipo buguruni pale sheli n.k.


I don't have time for Cheap Class weirdo like You who lives with his Aunty....

All I have to say is thru this song
 
Mi ndo kwanza nina miaka 21 kwanini mtu aanze kusema wote huku tuna miaka 35. Kusingiziana hata sijapenda. Mbona wao wengi ni below 25 na above 45 tunawachunia.
Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.

Nampenda sana my ex mdogo yupo mkubwa yupo mweupe yumo na mweusi pia yupo wala hapungui mahala

cc espy
 
Hafu wewe unaweza kufwa humu usishibe kila ulishwachwo humu.

Nampenda sana my ex mdogo yupo mkubwa yupo mweupe yumo na mweusi pia yupo wala hapungui mahala

cc espy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani unaamini nina miaka 21 kweli??
 
Back
Top Bottom