JF: The only place you can meet real beautiful women

Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue

Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
🀣🀣
 
Hakika Mkuu πŸ‘
Kuna siku nipo na wewe kuna mrembo mmoja wa JF nilikuwa na hat naye nikamwambia nipo na Mshana Jr , akaniambia nikusalimie sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Japo sikukusalimia tu. Ni mrembo hasaa sio mrembo she is among the world's really wives.
 
Hahaha
 
Hapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…