Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wingi, namba don't lie.Naona kama namba don't lies
Usiende huko, we baki huku huku MMU, chit chat na habari na hoja mchanganyiko na kwenye siasa.
So nilipaswa kuandikaje hapo mkuuKwa wingi, namba don't lie.
Kwa umoja, namba doesn't lie.
Kunanini Palace?Usiende huko, we baki huku huku MMU, chit chat na habari na hoja mchanganyiko na kwenye siasa.
I see as if numbers dont lie.
Nimeshakuambia usiende.
Kwa Akili kama hizi nilikua sahihi kukukataza usiende palace
Mi ni mtu wa totoz kiongozi.Kwa Akili kama hizi nilikua sahihi kukukataza usiende palace
Si mchezo watu wanakimbiza balaa.Jamaa uliyemuweka namba 10 ilitakiwa awe namba mbili maana ukigawanya na miaka kutafuta wastani ataongoza maana anamiaka 3 tu lakini anaitafuta message 80,000.
Ata lak hufkishiSi mchezo watu wanakimbiza balaa.
Mi wa 2013. Naona namba yangu itakuwa ya laki moja hivi
Sent using Jamii Forums mobile app