Haha hivi wanawake hawana multiple Id? Mara mnakutana wenyewe mnaokulanaga hehehe ila hii lazima imeshawahi kutokea sema wahusika tu waliamua kupiga kimya
Haha nimejipanga na bajetiHahahahaa.. kwa maana hiyo umejipanga nini mwenza?
Teh teh..Na maisha yanaenda
Kisisimame tena..Hiyo aibu yetu sote ujue..Nikiwa nje nakuwa nimebeba bendera ya familia..Acha niwakilishe vemaNyoooo. Ukinichit kisisimame
Kisisimame tena..Hiyo aibu yetu sote ujue..Nikiwa nje nakuwa nimebeba bendera ya familia..Acha niwakilishe vema
hiyo inatokea, bahati mbaya waongo na majizi yamekutana so yatapiga kimyaHaha hivi wanawake hawana multiple Id? Mara mnakutana wenyewe mnaokulanaga hehehe ila hii lazima imeshawahi kutokea sema wahusika tu waliamua kupiga kimya
Hahahahaaa pambaf thanaKisisimame tena..Hiyo aibu yetu sote ujue..Nikiwa nje nakuwa nimebeba bendera ya familia..Acha niwakilishe vema
Wewe imekutokea mara ngapi mkuuhiyo inatokea, bahati mbaya waongo na majizi yamekutana so yatapiga kimya
Teh teh..Kuna watu wapo Jf kwa mission maalum..Mtu anakadaftari chake..Anafanya kutick tu..
Teh teh..We ni mwehu walahi..Yani mm nina hasara sanaMimi wala sipo huko, isitoshe sikukuu hii nimeshajipanga tayari sema tu hela ndio sijapata bado teh
YeahKwamba ukishindwa tumeshindwa sote?
Hahahaaa. Anaandika mzigua tayariTeh teh..Kuna watu wapo Jf kwa mission maalum..Mtu anakadaftari chake..Anafanya kutick tu..
Mkijijua ndo mnaanza kutupiana vijembe..Mwisho wa siku kila mtu anajuaSi mnakua hamjui sasa mnapangwa tu
Hahaa we naee acha kutisha watuTeh teh..Kuna watu wapo Jf kwa mission maalum..Mtu anakadaftari chake..Anafanya kutick tu..
[emoji85][emoji85]Teh teh..We ni mwehu walahi..Yani mm nina hasara sana
Mkijijua ndo mnaanza kutupiana vijembe..Mwisho wa siku kila mtu anajua
Mkijijua ndo mnaanza kutupiana vijembe..Mwisho wa siku kila mtu anajua