Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
[emoji23] [emoji23] [emoji23]mara nyingine bora usitajwe sababu unaweza kutajwa na mtu mwenye msururu wa kujaza Coaster ikawa ni aibu badala ya fahari[emoji23]
sawa mkuu Mangi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio mbaya mkuu, hata ukitaka kupata kazi kirahisi eksipiriensi muhimu.
Ngoja kwanza niwatag niwapendao kwanza wewe nitakufikiria mwishoni endapo mambo hayataninyookea[emoji848]Aisee, nioge maji ya bahari mara ngapi wakati mie mvuvi?
Ntajitahidi nikuhonge papa ili uniandikie na uzi kabisa.
Haaya meku, karibu wari/mbeke/mbege/international local brew.sawa mkuu Mangi
eka mbeeHaaya meku, karibu wari/mbeke/mbege/international local brew.
Haha na bado anaongeza msururu ila wahenga tupo tu....hutupoi hatuboiJeuri gani sasa na ndio tumekufa tukaoza. Na mishkaki yetu sio ya kimya kimya, tunajijua kabisa na hatuna ujanja. Huu mrogo sio wa mchezo.
Anza wewThread maalum kwa yoyote ambaye angependa kushow love kwa jf member mwenzetu.
Unachotakiwa kufanya ni kumtag mtu wako aje apa alafu unatupia mistari kama yote wadau wengine tutakupa sapot [emoji28][emoji28]
Akija mwambie labda kwa nini yeye au labda umeanza kufatilia kuanzia lini.kifupi msifie tuu na sera nyingine.
Unajua sio watu wote wako active PM so nimefungua huu uwanja kwa sababu hiyo.
Alafu mwisho wa siku kuna kitu wazungu wanaita secret admirer yaan mtu anakukubali sema kimyakimya yaan.so its time to open.
Kuna wadau watakula tags za kutosha that one am sure.
Jinsi ya kumtag mtu unaanza na @alafu jina lake...mfano@(Tairus)
huyo aliguswa mara moja tuHaha na bado anaongeza msururu ila wahenga tupo tu....hutupoi hatuboi
Matokeo yake hata wewe mwenye mke umekosea@cute b
Dadeki, ngoja nikaongee na mtani, ntahakikisha unanitag kila baada ya dakika 1.Ngoja kwanza niwatag niwapendao kwanza wewe nitakufikiria mwishoni endapo mambo hayataninyookea[emoji848]
huyo aliguswa mara moja tu
nahisi ban aliyopigwa imefrizi id yakeMatokeo yake hata wewe mwenye mke umekosea
Hahahh inabidi tusheee hi hii simu yangu sasa dahMatokeo yake hata wewe mwenye mke umekosea
[emoji23][emoji23][emoji23] Huyo mtani wako kazi nimemfunza mwenyewe, usipoteze muda wako bure kwani hataniweza. Wewe kama vipi nitumie muamala wa kununulia ugoro nikufikirieDadeki, ngoja nikaongee na mtani, ntahakikisha unanitag kila baada ya dakika 1.
Ila sina shaka kwa I'd nilizonazo humu lazima utanitag tu[emoji39]
watani zako wana wivu sana ukiwaeleza kuwa unataka dawa ya kung'oa chombo unaweza kupewa maji ya betriDadeki, ngoja nikaongee na mtani, ntahakikisha unanitag kila baada ya dakika 1.
Ila sina shaka kwa I'd nilizonazo humu lazima utanitag tu[emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo mtani wako kazi nimemfunza mwenyewe, usipoteze muda wako bure kwani hataniweza. Wewe kama vipi nitumie muamala wa kununulia ugoro nikufikirie
Wifi nakusalimiaNgoja kwanza niwatag niwapendao kwanza wewe nitakufikiria mwishoni endapo mambo hayataninyookea[emoji848]
Hahaha, wanasema ukitaka kushinda vita usitoe siri zako zote, hiyo nayo ni mbinu ya kumchanganya adui, wakati anapambana na mtani mimi ntakua Ngende narekebisha mambo.watani zako wana wivu sana ukiwaeleza kuwa unataka dawa ya kung'oa chombo unaweza kupewa maji ya betri
sio tu adui hata rafiki asijue unayepigana naye, msimulie matokeoHahaha, wanasema ukitaka kushinda vita usitoe siri zako zote, hiyo nayo ni mbinu ya kumchanganya adui, wakati anapambana na mtani mimi ntakua Ngende narekebisha mambo.
HahahahaNasubiri wanitag[emoji8][emoji8][emoji8][emoji39][emoji39][emoji39]