Yaani had sasa nangoja bado kimya [emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]Hahahaha
Mkuu we na mm tuendelee na kazi za kujenga Taifa
Haya mambo tuwaachie wenyewe
Yaani had sasa nangoja bado kimya [emoji20][emoji20][emoji20][emoji20][emoji20]
Kabisa meku.sio tu adui hata rafiki asijue unayepigana naye, msimulie matokeo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] damu ya kunguni..Hahahaha
Nakuambiaje tuendelee na kujenga Taifa ,mwenzio najijua zikija Mada hz nabaki msomaji tu
Km unabisha endelea Kungoja au km vipi jilipue tu, mtag MTU ,mchezo uishe
Hahahaha ,bana wee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] damu ya kunguni..
Hapa ngoja nibadili avatar hii avatar ndio inaniletea gundu.
Mna fantancy za ajabu!
Una akili saaaana.
Morning my sweetness, you good?
Hahahaha
Mkuu we na mm tuendelee na kazi za kujenga Taifa
Haya mambo tuwaachie wenyewe
Ewaaa hapo umenifurahisha sasa, sio kuniita mwenza. Naomba unikumbushe mimi ni wifi yako kwa kaka yako yupi, Kulwa au Dotto?😉Wifi nakusalimia
Wow!!!!
B upo kumbe?
Na wewe usivyo na i'd moja unaweza kukuta members wote watano ninaowazimikia kumbe wote ni wewe! ☹️[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukiruka huo mtego wa kiroho najua wa kimbinu haukukosi (I'd moja naona imeshakukamata).
Mbona nimekutaja hujaona?
Hahahaha ,sijaona ila najua huwezi kunitaja mm sina sifa za kutajwa