Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtu chake. Nasubiri zawadi za Zenj na Congo nikuandalie na uzi kabisa ujue sitanii
Ewaaa hapo umenifurahisha sasa, sio kuniita mwenza. Naomba unikumbushe mimi ni wifi yako kwa kaka yako yupi, Kulwa au Dotto?[emoji6]
Nakuandikia taraka hadharani hapa jamvini...!Kwanini uniache hubby?
Kwani Mzigua wewe na Mtu Chake ni mabebi?
Ni bora usibadili mawazo yako maana utakuwa umejipalia makaa pande ile nyingine! (sijui umenielewa?[emoji848])[emoji23] [emoji23] [emoji23] usifurahi sana maana sichelewi kubadili mawazo. Kuhusu kaka yupi naomba usubirie atakayebaki ndio nitakupa wewe
Hahahahamtu chake. Nasubiri zawadi za Zenj na Congo nikuandalie na uzi kabisa ujue sitanii
Sasa ujue naweza ngoja nikuonyeshe.
HahahahaKwani Mzigua wewe na Mtu Chake ni mabebi?
Dah!
B leo nadhani itakuwa siku nzuri sana kwangu!
Maana we ndo mtu wa kwanza kunitaja hapa.
Halafu, bado ule Ng’wanza?
Naliza koi e wiki iyo liza.
Ni bora usibadili mawazo yako maana utakuwa umejipalia makaa pande ile nyingine! (sijui umenielewa?[emoji848])
Umenipiku?[emoji848]Pande ile nimeshakupiku..you dont stand a chance we endelea kujibembeleza nikufikirie kwa kaka zangu
Embu naomba ubuyu ilikuwaje
Umenipiku?[emoji848]
Sema haki!
Vyote viwili[emoji3525]Huamini au hutaki?
Basi kajitundike tuVyote viwili[emoji3525]
sema su nimtagWe nanihiii wewe kwani hujui kama nakupenda?!!!!!!!!
Feels good to know that beibzI'm good love.