Wale ninakesha nao Pm mkisema mnanikubali...ndo mmeamua kunimwaga au?
Au kwa kuwa tumekutana wanawake wengi hapa jukwaani?
mie mwenyew mgenShow ikibamba inakuaje bidada?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akipata uteuzi tu mie ndo nitamtaja kwakweli... kudamshi km kotee
[emoji23][emoji23]espy kivuruge sana yule shemela aloachwa na mkewe anamwelewa sana espy ila sasa esp majibu yake unataman kijificha chini ya uvungu aisee
Halafu nakulya sana nu beebe uliebecha duhumie mwenyew mgen
ππsikujua km na ww unapenda ubuyu namna hii πππkaoneUlivyo na roho mbaya, hapo unatuenjoy tunavyohangaika kumguess
[emoji23][emoji23][emoji23] boss sema ht sasa nije pande zipi [emoji23][emoji23] ...nalewa had asbh sikutajii ng'o
hahahahahabhaabhqhaaa espy nakufa mm jamanHahhahaaaa!! Sas we huoni yule ni mgonjwa, hadi nije nimtibu si nimezeeka!! Akuu hata mimi nataka raha jamani.
Shoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?[emoji23][emoji23][emoji23] alafu sijawah muona MMU bas nasemaga oh Lawd thank you! akija huku amkute Madame B kuna kazi hapa [emoji23][emoji23][emoji23]! nitakuambia kwa majaliwa!sifeel better men awe mmu kwa snaaa..aku bibi wee[emoji4][emoji4]!ila ni pro ccm bas nashindwaga ht kucomment
ππππhd nimekaaa khaa ww mtotoUsipotaja nakutapisha pombe yoote.
Eeeh wapenda ubuyu hawapatagi magonjwa ya presha teh[emoji23][emoji23]sikujua km na ww unapenda ubuyu namna hii [emoji23][emoji23][emoji23]kaone
Roho mbaya haijengi, kizuri tule wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akipata uteuzi tu mie ndo nitamtaja kwakweli... kudamshi km kotee
Ulivyo na roho mbaya, hapo unatuenjoy tunavyohangaika kumguess
Shoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?
Unajua nitashindwa kuja kunywa maji nyumbani kwako ujue....[emoji58][emoji58][emoji58]
Ila sio siri wanaume wa Siasai wako so romantic...hawa wa MMU ni cha wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanaume wa kule wana pesa...[emoji39][emoji39][emoji39] na wanatingoza ki-romantic....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] (hapa sasa)
πππππ...kwan kamba ya kujining'iniza sinayoπππUtashangaa kapata iteuzi alafu nipo pembeni yake, ndio utaelew kwanini dunia inazunguka ila tuko Afrika tangu enzi.
πππpovu shoga hahahahahhaha... ukija siasan.utamuona..baba smart haijapata tokea toka ulimwengu kuumbwa!hana matusi hachambi anatemba facts tuSi ndio hapo sasa, anajifanya eti wake peke yake utafikiri alimuumba.
Aisee ngoja nianze kushinda jukwaa la siasaShoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?
Unajua nitashindwa kuja kunywa maji nyumbani kwako ujue....[emoji58][emoji58][emoji58]
Ila sio siri wanaume wa Siasai wako so romantic...hawa wa MMU ni cha wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanaume wa kule wana pesa...[emoji39][emoji39][emoji39] na wanatingoza ki-romantic....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] (hapa sasa)
Me ndo nipo namtongoza tongoza pm kwake, sasa nikimtaja kabla anaweza kupeperuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe waelewa eh..hawa wa huku wapo shallow sana ... hahahhaa wew litoto wewe..umefunguka km vyoteeee....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!@heaven sent ukuje mtaje na ww wakwako nami nimtaje kwani sh ngap bwana
πππππ jaman niachien huyu jaman khaaa!Aisee ngoja nianze kushinda jukwaa la siasaMe ndo nipo namtongoza tongoza pm kwake, sasa nikimtaja kabla anaweza kupeperuka