JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Shoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?
Unajua nitashindwa kuja kunywa maji nyumbani kwako ujue....[emoji58][emoji58][emoji58]

Ila sio siri wanaume wa Siasai wako so romantic...hawa wa MMU ni cha wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanaume wa kule wana pesa...[emoji39][emoji39][emoji39] na wanatingoza ki-romantic....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] (hapa sasa)
 

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe waelewa eh..hawa wa huku wapo shallow sana ... hahahhaa wew litoto wewe..umefunguka km vyoteeee....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!@heaven sent ukuje mtaje na ww wakwako nami nimtaje kwani sh ngap bwana
 
Aisee ngoja nianze kushinda jukwaa la siasa Me ndo nipo namtongoza tongoza pm kwake, sasa nikimtaja kabla anaweza kupeperuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…