JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

[emoji23][emoji23][emoji23] alafu sijawah muona MMU bas nasemaga oh Lawd thank you! akija huku amkute Madame B kuna kazi hapa [emoji23][emoji23][emoji23]! nitakuambia kwa majaliwa!sifeel better men awe mmu kwa snaaa..aku bibi wee[emoji4][emoji4]!ila ni pro ccm bas nashindwaga ht kucomment
Shoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?
Unajua nitashindwa kuja kunywa maji nyumbani kwako ujue....[emoji58][emoji58][emoji58]

Ila sio siri wanaume wa Siasai wako so romantic...hawa wa MMU ni cha wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanaume wa kule wana pesa...[emoji39][emoji39][emoji39] na wanatingoza ki-romantic....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] (hapa sasa)
 
Shoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?
Unajua nitashindwa kuja kunywa maji nyumbani kwako ujue....[emoji58][emoji58][emoji58]

Ila sio siri wanaume wa Siasai wako so romantic...hawa wa MMU ni cha wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanaume wa kule wana pesa...[emoji39][emoji39][emoji39] na wanatingoza ki-romantic....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] (hapa sasa)

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kumbe waelewa eh..hawa wa huku wapo shallow sana ... hahahhaa wew litoto wewe..umefunguka km vyoteeee....😂😂😂😂!@heaven sent ukuje mtaje na ww wakwako nami nimtaje kwani sh ngap bwana
 
Shoga manengelo ina maana hatuamimiani kiasi hiki?
Unajua nitashindwa kuja kunywa maji nyumbani kwako ujue....[emoji58][emoji58][emoji58]

Ila sio siri wanaume wa Siasai wako so romantic...hawa wa MMU ni cha wote.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza wanaume wa kule wana pesa...[emoji39][emoji39][emoji39] na wanatingoza ki-romantic....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26] (hapa sasa)
Aisee ngoja nianze kushinda jukwaa la siasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe waelewa eh..hawa wa huku wapo shallow sana ... hahahhaa wew litoto wewe..umefunguka km vyoteeee....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!@heaven sent ukuje mtaje na ww wakwako nami nimtaje kwani sh ngap bwana
Me ndo nipo namtongoza tongoza pm kwake, sasa nikimtaja kabla anaweza kupeperuka
 
Back
Top Bottom