JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Hahahahaa. Kuna mtu kaniambia pia eti mmoja alienda kumuuliza vipi unamjua mzigua? hapo hapo anamtongoza yeye. Mwingine oooh nasikia mzigua anagawa sana huku akajibiwa sijui. Kumbe nae alishatongoza akala cha mbavu akaenda kujiosha kule kwingine kwamba mi sio mchoyo ili atongoze.
Mwanaume unaogopa kutongoza unataka utongozwe au? Maswala ya kisu au panga butu ni wewe na uthubutu wako tu. Halafu kisu ni mtu anavyoona. Naweza sema manengelo kisu kumbe kwa mwingine atamuona wa kawaidaaa.

umemaliza mama! hv sijui yapoje!
 
Sio yakoje. Wanatongoza sana halafu hawatumii akili.


alafu hawana ht lolote...lol!.mwanaune halisia anakuja akiwa full package.. hashoboki ovyo..mm andika ya mtu tu unajua huyu ni smart..kuna mbulumundu mmoja ananichefua pm..kaja direct anataka namba..yaan kwa kasi kwel unamuulizq ya nn oh nna kazi nayo..khaa..ova pm hawez sema.. yan siku nzima had usk anaomba namba tu... na huku wanaume wenzake wanaanzaga mdg mdg... later unaombwa namba na miamala kama yot..hawaulizi ht huu ni mtqndao gan sasq hawa wengine ptu!😏😏😏😏
 
[emoji4][emoji4][emoji4] ndo hawa wanaokesha piemu..anatongoza wadada 5 kwa mpgo.. alafu kuna tabia naiona humu kwa wakaka..anakujia pm anakuambia eti manengelo mdada gan humu wamfaham kwa sura? na kati ya hao nani kisu? naulizwaga zaid ya mara nying tu..yaan hapo anataka akatongoze...mxiew..
Maswali mengine buana..mimi mbona sijawahi kuukizwa au wananiogopa teh
 
Ushaambiwa kuna watu humu mission yao ni kutongoza tu, na wana id kibao. Kuna rafiki yangu humu kuna siku tunaongea tunajikuta tunamuongelea the same person ila id mbili tofauti kabisaaa. Alafu sasa huwezi kumdhania hataaaaaa.
Sio yakoje. Wanatongoza sana halafu hawatumii akili.
 
Hivyo ni vitoto vilivyoibukia jf kutokea fb, wana moto. Soma tu alafu achana nayo wala huangaiki kuijibu.
alafu hawana ht lolote...lol!.mwanaune halisia anakuja akiwa full package.. hashoboki ovyo..mm andika ya mtu tu unajua huyu ni smart..kuna mbulumundu mmoja ananichefua pm..kaja direct anataka namba..yaan kwa kasi kwel unamuulizq ya nn oh nna kazi nayo..khaa..ova pm hawez sema.. yan siku nzima had usk anaomba namba tu... na huku wanaume wenzake wanaanzaga mdg mdg... later unaombwa namba na miamala kama yot..hawaulizi ht huu ni mtqndao gan sasq hawa wengine ptu![emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Si muwaombe hela wakimbie.
alafu hawana ht lolote...lol!.mwanaune halisia anakuja akiwa full package.. hashoboki ovyo..mm andika ya mtu tu unajua huyu ni smart..kuna mbulumundu mmoja ananichefua pm..kaja direct anataka namba..yaan kwa kasi kwel unamuulizq ya nn oh nna kazi nayo..khaa..ova pm hawez sema.. yan siku nzima had usk anaomba namba tu... na huku wanaume wenzake wanaanzaga mdg mdg... later unaombwa namba na miamala kama yot..hawaulizi ht huu ni mtqndao gan sasq hawa wengine ptu![emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Daaaah. Hahahahaaaaa. Kumbe mshenzi kaja tongoza tu. Wanaume wako na kazi wallah.
Ushaambiwa kuna watu humu mission yao ni kutongoza tu, na wana id kibao. Kuna rafiki yangu humu kuna siku tunaongea tunajikuta tunamuongelea the same person ila id mbili tofauti kabisaaa. Alafu sasa huwezi kumdhania hataaaaaa.
 
Back
Top Bottom