Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahahahaa. Kuna mtu kaniambia pia eti mmoja alienda kumuuliza vipi unamjua mzigua? hapo hapo anamtongoza yeye. Mwingine oooh nasikia mzigua anagawa sana huku akajibiwa sijui. Kumbe nae alishatongoza akala cha mbavu akaenda kujiosha kule kwingine kwamba mi sio mchoyo ili atongoze.
Mwanaume unaogopa kutongoza unataka utongozwe au? Maswala ya kisu au panga butu ni wewe na uthubutu wako tu. Halafu kisu ni mtu anavyoona. Naweza sema manengelo kisu kumbe kwa mwingine atamuona wa kawaidaaa.
😂😂sasa unanitongoza mm alafu hapo hapo tena unaniuliza km mzigua ana tackle?Sasa si unakuta mtu anajiandaa kisaikolojia..
Hataki kukurupuka yaan..
Tunasema anajipanga
umemaliza mama! hv sijui yapoje!
Sio yakoje. Wanatongoza sana halafu hawatumii akili.
Maswali mengine buana..mimi mbona sijawahi kuukizwa au wananiogopa teh[emoji4][emoji4][emoji4] ndo hawa wanaokesha piemu..anatongoza wadada 5 kwa mpgo.. alafu kuna tabia naiona humu kwa wakaka..anakujia pm anakuambia eti manengelo mdada gan humu wamfaham kwa sura? na kati ya hao nani kisu? naulizwaga zaid ya mara nying tu..yaan hapo anataka akatongoze...mxiew..
mimi nimeulizwa na watu wa3 had sasa...Maswali mengine buana..mimi mbona sijawahi kuukizwa au wananiogopa teh
😀😁unapenda kudekadeka?Nipo mamaa,umeadimika weweya kudeka deka...upo baba
😀😁😂hii ni pwenti muhimu.MMU kuna mambo sana.Siasani nako pasua kichwa.ukweli ndo huo... kukesha MMU kwa men mie sipend..😥!akeshe jukwaa za siasa huko au international forums🤘
Kumbe PM yako inafanya kazi?mimi nimeulizwa na watu wa3 had sasa...
😂ilikua..nw haifanyKumbe PM yako inafanya kazi?
Sio yakoje. Wanatongoza sana halafu hawatumii akili.
alafu hawana ht lolote...lol!.mwanaune halisia anakuja akiwa full package.. hashoboki ovyo..mm andika ya mtu tu unajua huyu ni smart..kuna mbulumundu mmoja ananichefua pm..kaja direct anataka namba..yaan kwa kasi kwel unamuulizq ya nn oh nna kazi nayo..khaa..ova pm hawez sema.. yan siku nzima had usk anaomba namba tu... na huku wanaume wenzake wanaanzaga mdg mdg... later unaombwa namba na miamala kama yot..hawaulizi ht huu ni mtqndao gan sasq hawa wengine ptu![emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
alafu hawana ht lolote...lol!.mwanaune halisia anakuja akiwa full package.. hashoboki ovyo..mm andika ya mtu tu unajua huyu ni smart..kuna mbulumundu mmoja ananichefua pm..kaja direct anataka namba..yaan kwa kasi kwel unamuulizq ya nn oh nna kazi nayo..khaa..ova pm hawez sema.. yan siku nzima had usk anaomba namba tu... na huku wanaume wenzake wanaanzaga mdg mdg... later unaombwa namba na miamala kama yot..hawaulizi ht huu ni mtqndao gan sasq hawa wengine ptu![emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Sio yakoje. Wanatongoza sana halafu hawatumii akili.
Si muwaombe hela wakimbie.
Ushaambiwa kuna watu humu mission yao ni kutongoza tu, na wana id kibao. Kuna rafiki yangu humu kuna siku tunaongea tunajikuta tunamuongelea the same person ila id mbili tofauti kabisaaa. Alafu sasa huwezi kumdhania hataaaaaa.