JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Eeeeh anafurahia kuwaona mboga zake. Tena ukute ndo wale mnaitana mashosti jukwaani hata pm hamjawahi kuchat basi anawachoora tu.
Haya mambo jamani!!! Kwahiyo unajisikia rahaaa umewapanga mzigua na espy alafu ukiwaona jf unawachora tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…