Hahahaaaaaa!!
We hutaki kupangwa? Kizuri kula na nduguyo.
Unamaliza sabuni [emoji23][emoji23]popote ulipo
mi naomba usikilize wimbo wa benson Hauzimi
Hamna kizuri nitakachofurahia kula na mwenzangu
Tunawatag tunaowapenda upendo wa kipendwa au wale ambao tunatamani siku tunjunjane nao?
umeona hapo tu kwenye hiyo nyimbo ?Unamaliza sabuni [emoji23][emoji23]
Wapo wasiopanga lakini.
Naww ni mmoja wapo?
[emoji3][emoji3]Guys kuna mtoto anaitwa Yna2 mnamanya fresh?
Katika pitapita zangu nimekuta jamaa @ZeroIQ kamtengenezea uzi tayari..
Sounds like i was late..
Nakupenda sana yna2 - JamiiForums
Nikipenda.
We trouble maker akutag nani mfyuuuNasubiri wanitag[emoji8][emoji8][emoji8][emoji39][emoji39][emoji39]
Hahahaa! Lol!Bado hujapenda
Nashindwa kuelewa wanapangwaje! Yaani unadate wanawake wa humu zaidi ya mmoja?
Mbona rahisi sana kama kumsukuma mlevi.
Haya mambo jamani!!! Kwahiyo unajisikia rahaaa umewapanga mzigua na espy alafu ukiwaona jf unawachora tu!!!