Huyo mdangaji anaanzaje kunitaja..Anashindwa aanzie wapi..Mafile yanapandana kichwani
Tulia mama, huu msongamano akiugua mmoja tunaenda dunia nzima.
Kwa hiyo mimi nina moyo was chuma sio?Teh teh..Hivi na ww una hisia??..Sijawahi kujua
Hahaahaa. Kweli aishi milele Melo. Sema nini. Mtu akitaka kuliwa aliwe tu. Maisha ndo haya haya.
Uzuri hata ye anajua amepangwa na anasubiria foleniNdo na wewe mpange dear. Huoni mimi nimempanga
Ndio mama. Kaboom bby wangu sema anaruka ruka sana
Kaifuta comment yake, nami nilitaka kuquote naona inagoma kumbe haipo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani huyoKaifuta comment yake, nami nilitaka kuquote naona inagoma kumbe haipo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akianza kukohoa mmoja sijui nani atakua anampelekea mwenzie uji Mwaisela.
Uzuri hata ye anajua amepangwa na anasubiria foleni
Kaifuta nini sasa wakati kasema ukweli
Cd4 kama zote haha
Hahahaaa. Katoa siri ya kambi. KingY tunashukuru kwa kutuambia mchezo wenu bwanaa