Hata sishangai, ana mke kila mtaa, sijui ndio uhaba wa wanaume humu jf!! Sio kwa msongamano huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo umeongea point tangu ukiunge Jf lol..Hahaahaa. Kweli aishi milele Melo. Sema nini. Mtu akitaka kuliwa aliwe tu. Maisha ndo haya haya.
Na sisi tuwapange tu. Atakae kuzika humjui mama. Usitegemee figa moja
Leo umeongea point tangu ukiunge Jf lol..
Leo umeongea point tangu ukiunge Jf lol..
Figa moja laivishaje chakula kwamfano!!
Labda kama wataka watu walale njaa
Teh teh..Huu mwezi wa 12 nitasikia kila aina ya nyimbo..Nishazoea[emoji2]Hahaa loh siku hizi nimeacha darling umebaki wewe tu kwa hiyo hao wengine fanya kuwasukumia ndani nibaki peke yangu
Mimi wala sipo huko, isitoshe sikukuu hii nimeshajipanga tayari sema tu hela ndio sijapata bado tehTeh teh..Huu mwezi wa 12 nitasikia kila aina ya nyimbo..Nishazoea[emoji2]
Huu mtego..Kunibania kote kule leo uniite kirahisi hivyo.?Haya njoo ukule.
Mimi wala sipo huko, isitoshe sikukuu hii nimeshajipanga tayari sema tu hela ndio sijapata bado teh
Haha hivi wanawake hawana multiple Id? Mara mnakutana wenyewe mnaokulanaga hehehe ila hii lazima imeshawahi kutokea sema wahusika tu waliamua kupiga kimya