JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

JF uzi maalum wa kuvunja ukimya..

Kila wakati nachungulia kama umeshatueleza lakini holaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bas mie nipo tofauti..nahis yangu mengi nijishughulishe nayo.. yaan kwa heshima na 'taazima'yenu nitawaeleza nnyie wadada kwakwel...kumtaj hapa mbn nahis km Shunie atamwendea piyemu[emoji4]
 
Hahahhahahah
Mwenza sema tu kwa kuwa huyu ni shemeji yangu kwa rafiki yake...ila unadhani na mimi sitamani kumiliki mwanaume mwenye mgodi anayepaa na helilopta?

😂😂😂😂😂😂bhaeleze bhaelewe...kuwa na mwanaume mwenye pesa ht km ana kikwapa automatic huwa kinapotea tu hukisikii..sasa hela huna jasho km mikojo ya mende
 
Kwahiyo binti yangu ndio umemchoka hivyo mwenza!!!
Hahahhahahah
Mwenza sema tu kwa kuwa huyu ni shemeji yangu kwa rafiki yake...ila unadhani na mimi sitamani kumiliki mwanaume mwenye mgodi anayepaa na helilopta?
 
Back
Top Bottom