Numbisa umenifurahisha sana aisee, hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] JF ina Raha yake kwakweli.
sana sana kabisa,JF sehemu nzuri ya kuondoa stress
Tigo: 52522431418699_
Voda: 53697188954859_
Update:
Baada ya kuona watu wana wasiwasi nimeingiza mwenyewe vocha ya Tigo. Ya voda kuna mtu amefanikiwa, hongera zake.
Ovaaaa Biko ya jfKu bet kila mahali sasa
Ova
Mkuu usisambaze uongo wako soma thread zangu zote za humu alafu utajua mimi ni nani?Mchezo unachezwa saa 6 mchana? Saa sita ni muda wa kuingia mitandaoni kutafuta vocha za bure? Alafu mnalalamikia efficiency ya serikali yenu, kwahiyo wewe unaweza kuacha kutoa huduma/kufanya kazi ya kuzalisha mali alafu ukaingia mtandaoni kuvizia vocha ya bure?
BTW kuweni makini, system works here, kuna watu wanawindwa humu JF.. Jiwekeeni hizo vocha za bure tu mkikamatwa siku ndio mtajua..
Mkuu huyu anatisha tu hakuna cha kuogopaKama ndio hivyo inabidi niingize mwenyewe vocha zangu, kama kuna mtu kaniwahi basi.
Hivi mnafanya vitu gani humu JF mpaka mnakua na wasiwasi kiasi hiko. Na kama kuna kitu umefanya cha kufanya utafutwe utakua mpumbavu kukamatwa kwa ajili ya vocha ya buku.
Baba taratibu Mwaka usje ukaisha pagale letu La Kikuyu hatujamaliziaUpdate stay tuned saa 3 kamili usiku tunalicheza game
Hata bonus Nilijua nitaiweka kwenye kibubu mwenzioUsijari mamy hiyo ni bonus niliyoisemea itakuja jioni useme nilikuwa studio na nilichelewa kutoka ndio natoka now
Hahahahahhaha na wachawi tutakuwa tunacheza game
Na unapenda dezo weeeeBaba taratibu Mwaka usje ukaisha pagale letu La Kikuyu hatujamalizia
Oooh basi sawaAaah usijari ipo nyingine ya kwenye kibubu
Leo nilikuwa vizur wala sjatega mingoLeo umepata?
Next time nitakua na subira, lakini saa tatu Zero IQ anakuja na bonus nyingine.Aah bana ungesubiria kama robo au nusu saa ndo ujiwahi.
Ndio napenda dezoo unataka kunipa nn?Na unapenda dezo weeee