Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Karibu ata kutazama tu
Sawa mkuu
Usitangaze dada, mimi leo nimeipata ya Tigo mchana.
Hii post nimechelewa kuiona.
Halafu majamaa kumbe hayajanifungulia.
Wanaifunga kwa muda gani? Maana lain nyingine ukijaribu mara tatu wanaifunga kwa masaa kama mawili hivi
Mimi waliniambia wanaifunga kwa 3 hours, sasa leo nilivyoona hii nikataka kucheza nikakuta bado imefungwa.
Huwa siitumii sana ndo maana sikushtuka.
Ndio Nasubiri mshindi Ajitokeze
Pole mkuu. Ntajaribu kesho,leo nimechelewa. Nikifungiwa lawama kwa mleta uzi hahahaha
Mimi nimemsamehe baada ya kula leo mchana.