Jf weddings, je tutachangiana?

Hakuna kitu kinanikera kama kuchangiana michango ya harusi.

Michango ya misiba na matibabu naelewa, lakini harusi nina mpango wa kuzisusia.
 
Hata ninaowafahamu sichangi sembuse id fake[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Hahahahahahhahaha we kumbe kama mimi, huwa sichangii hizo mambo kabisa... Nachangia mgonjwa au msiba tu
 
Nachangia matibabu,masomo harusi hainihusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…