JF Woman and Man of The Year 2010: Mchakato Wa Kuwapata

Ni Nani Anafaa Kuwa "JF Man of the Year 2010"?

  • Acid

    Votes: 23 40.4%
  • Kiranga

    Votes: 12 21.1%
  • Nyani Ngabu

    Votes: 22 38.6%

  • Total voters
    57
  • Poll closed .
Wana Jamii Forum;

Kwa Mjibu wa Kanuni za JEC, sasa muda wa kupiga kura za maoni umemalizika. Mapendekezo yoyote baada ya post hii hayatafikiriwa.

Sasa tunaanza mchakato wa kuhesabu kura, kui-update thread na kisha kuanzisha POLLS.
 
Update 1 sasa inapatikana katika main thread.
 
Update 1 sasa inapatikana katika main thread.

Oooh yeah....ninaongoza kwa kura na kama demokrasia ikichukua mkondo wake bila uchakachuaji nitajizolea kitita changu cha shilingi 100,000/= taslimu kutoka kwa mzalendo Sanctus Mtsimbe...
 
Oooh yeah....ninaongoza kwa kura na kama demokrasia ikichukua mkondo wake bila uchakachuaji nitajizolea kitita changu cha shilingi 100,000/= taslimu kutoka kwa mzalendo Sanctus Mtsimbe...

kudadadeki lazima uigawane hiyo!
 
Wanabaraza na Wana Jamii Forums;

Tume ya Uchaguzi ya JamiiForums (JEC) inapendekeza kwanza upitie thread ifuatayo ili kuweza kupata mchakato wa hapa tulipofika:

https://www.jamiiforums.com/celebri...-of-the-year-2010-mchakato-wa-kuwapata-4.html

POLL inayofanyika sasa ni kwa ajili ya kumpata JF WOMAN OF THE YEAR 2010 na pia JF MAN OF THE YEAR 2010.

Zawadi zitatolewa kwa mshindi wa kila Category.

Katika POLL hii inafanyika baada ya Wadau wa JF kupendekeza majina mbalimbali katika kila category, na baada ya kupitia post zote za mapendekezo JEC imechagua wale watatu wa mwanzo waliopata kura nyingi kutoka katika kila category (MAN Category kura zilifungana, kwa hiyo wako 4). Washindi hawa wa kura za maoni sasa tunawapambanisha kupitia upigaji kura yaani JF POLL.

Mwaka huu tofauti na mwakajana itatolewa zawadi yenye hadhi fulani kwa washindi ili kutoa changamoto za umakini katika mabandiko haba jamvini. Tutajulishana zawadi hizi mara tu washindi watakapopatikana baada ya mchakato wa Kupiga kura.

Vigezo vifuatavyo vizingatiwe katika kupiga kura yako:

1. Unayempigia kura awe ni Mwana JF aliyebobea hasa kutokana na Threads alizozianzisha na pia post alizozianzisha. Vyote lazima viwe na impact chanya kwa wasomaji wa JF

2. Awe ni mwenye uwezo wa kusimamia hoja zake na kuzijibu kikamilifu bila jazba na kwa umahiri wa hali ya juu pale ambapo anapata challenge toka kwa wachangiaji.

3. Awe ni mwenye ushawishi wa hali ya juu katika mabandiko anyochangia walau kwa muonekano wa wachangiaji kuunga mkono hoja zake.

4. Asibobee kwenye Jukwaa moja tu. Walau awe mchangiaji mzuri wa majukwaa yasiyopungua matatu

5. Asiwe mtu wa shari katika majibizano kiasi cha kupelekea Mods kumpa "BAN".

6. Aonekane wazi katika mabandiko yake anaweza akahisiwa kuwa Kiongozi Mzuri.

7. Awe Mchangiaji ambaye ni active walau mara moja kwa wiki. Ikiwa zaidi ni vizuri zaidi.

8. Awe ni mtu asiyeogopa kukemea mabandiko yenye lengo la kutukana, kudhalilisha, kubagua, kuleta mfarakano na kutokuelewana baina ya wanachama wa JF.

UPIGAJI KURA:

Mchakato wa Kupiga kura za kumpata JF Man of the Year 2010 and JF Woman of the Year 2010 umeshakamilika. Kura za maoni zimefungwa rasmi Ijumaa 3-12-2010 Saa 6.00 Usiku. Sasa kura zinapigwa kwa wafuatao ambao wamepita katika kura za maoni:

Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF MAN OF THE YEAR 2010:

1. Acid - Kura 2
2. Kiranga - Kura 2
3. Mwanakijiji - Kura 2
4. Nyani Ngabu - Kura 3

Pia katika Thread nyingine tofauti; Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF WOMAN OF THE YEAR 2010:

1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2


Wote mnahimizwa kutumia haki yenu ya kikatiba kwa kumpigia kura mgombea unayedhani amekidhi matarajio yako.

Maoni yanakaribishwa kuelezea sababu la chaguo lako na maoni menine ya kujenga.
 
Wanabaraza na Wana Jamii Forums;

Tume ya Uchaguzi ya JamiiForums (JEC) inapendekeza kwanza upitie thread ifuatayo ili kuweza kupata mchakato wa hapa tulipofika:

https://www.jamiiforums.com/celebriti...uwapata-4.html

POLL inayofanyika sasa ni kwa ajili ya kumpata JF WOMAN OF THE YEAR 2010 na pia JF MAN OF THE YEAR 2010.

Zawadi zitatolewa kwa mshindi wa kila Category.

Katika POLL hii inafanyika baada ya Wadau wa JF kupendekeza majina mbalimbali katika kila category, na baada ya kupitia post zote za mapendekezo JEC imechagua wale watatu wa mwanzo waliopata kura nyingi kutoka katika kila category (MAN Category kura zilifungana, kwa hiyo wako 4). Washindi hawa wa kura za maoni sasa tunawapambanisha kupitia upigaji kura yaani JF POLL.

Mwaka huu tofauti na mwakajana itatolewa zawadi yenye hadhi fulani kwa washindi ili kutoa changamoto za umakini katika mabandiko haba jamvini. Tutajulishana zawadi hizi mara tu washindi watakapopatikana baada ya mchakato wa Kupiga kura.

Vigezo vifuatavyo vizingatiwe katika kupiga kura yako:

1. Unayempigia kura awe ni Mwana JF aliyebobea hasa kutokana na Threads alizozianzisha na pia post alizozianzisha. Vyote lazima viwe na impact chanya kwa wasomaji wa JF

2. Awe ni mwenye uwezo wa kusimamia hoja zake na kuzijibu kikamilifu bila jazba na kwa umahiri wa hali ya juu pale ambapo anapata challenge toka kwa wachangiaji.

3. Awe ni mwenye ushawishi wa hali ya juu katika mabandiko anyochangia walau kwa muonekano wa wachangiaji kuunga mkono hoja zake.

4. Asibobee kwenye Jukwaa moja tu. Walau awe mchangiaji mzuri wa majukwaa yasiyopungua matatu

5. Asiwe mtu wa shari katika majibizano kiasi cha kupelekea Mods kumpa "BAN".

6. Aonekane wazi katika mabandiko yake anaweza akahisiwa kuwa Kiongozi Mzuri.

7. Awe Mchangiaji ambaye ni active walau mara moja kwa wiki. Ikiwa zaidi ni vizuri zaidi.

8. Awe ni mtu asiyeogopa kukemea mabandiko yenye lengo la kutukana, kudhalilisha, kubagua, kuleta mfarakano na kutokuelewana baina ya wanachama wa JF.

UPIGAJI KURA:

Mchakato wa Kupiga kura za kumpata JF Man of the Year 2010 and JF Woman of the Year 2010 umeshakamilika. Kura za maoni zimefungwa rasmi Ijumaa 3-12-2010 Saa 6.00 Usiku. Sasa kura zinapigwa kwa wafuatao ambao wamepita katika kura za maoni:

Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF WOMAN OF THE YEAR 2010:

1. Regia Mtema - Kura 2
2. Gaijin - Kura 2
3. Woman of Substance - Kura 2

Pia katika Thread nyingine tofauti; Chagua moja kati ya majina yafuatayo ambayo yamepitishwa na JEC kuingia rasmi kaatika POLL ya kutafuta JF MAN OF THE YEAR 2010:

1. Acid - Kura 2
2. Kiranga - Kura 2
3. Mwanakijiji - Kura 2
4. Nyani Ngabu - Kura 3


Wote mnahimizwa kutumia haki yenu ya kikatiba kwa kumpigia kura mgombea unayedhani amekidhi matarajio yako.

Maoni yanakaribishwa kuelezea sababu la chaguo lako na maoni menine ya kujenga.
 
1. Acid - Kura 2
2. Kiranga - Kura 2
3. Mwanakijiji - Kura 2
4. Nyani Ngabu - Kura 3[/COLOR]

Mimi niliyependekezwa kwa kura nyingi umeniweka wa mwisho katika orodha!! Kwa nini? Huo ndiyo uchakachuaje wenyewe sasa kwa sababu hiyo inawapa impression wapiga kura kuwa mimi ni wa mwisho na hivyo kuathiri au kuinfluence upigaji kura wao.
 
Mimi niliyependekezwa kwa kura nyingi umeniweka wa mwisho katika orodha!! Kwa nini? Huo ndiyo uchakachuaje wenyewe sasa kwa sababu hiyo inawapa impression wapiga kura kuwa mimi ni wa mwisho na hivyo kuathiri au kuinfluence upigaji kura wao.

NN ungefuata maelekezo ya thread hii usingekuwa na malalamiko. Ukifuata link iliyotolewa, majina yote yameingizwa kwa kufuata mapendekezo ya aliyekuwa wa kwanza kutolewa na hatimaye walichujwa na waliobaki wakaachwa katika mpangilio ule ule.

Hakuna uchakachuaji.
 
Superman,
Mbona category female ina wagombea wachache kuliko category male?
 
Mimi niliyependekezwa kwa kura nyingi umeniweka wa mwisho katika orodha!! Kwa nini? Huo ndiyo uchakachuaje wenyewe sasa kwa sababu hiyo inawapa impression wapiga kura kuwa mimi ni wa mwisho na hivyo kuathiri au kuinfluence upigaji kura wao.

NN Kampeni hairuhusiwi. Huu uchaguzi tayari siyo "huru na haki"!
 
Superman,
Mbona category female ina wagombea wachache kuliko category male?

Pitia hapa:

https://www.jamiiforums.com/celebriti...uwapata-4.html

Pia zingatia maelezo yaliyotolewa kwenye post kuu:

Katika POLL hii inafanyika baada ya Wadau wa JF kupendekeza majina mbalimbali katika kila category, na baada ya kupitia post zote za mapendekezo JEC imechagua wale watatu wa mwanzo waliopata kura nyingi kutoka katika kila category (MAN Category kura zilifungana, kwa hiyo wako 4). Washindi hawa wa kura za maoni sasa tunawapambanisha kupitia upigaji kura yaani JF POLL.
 
Mzee Nyani Ngabu pamoja na umaarufu na postings zote hizo mbona bado haujakuwa Premium Member?
 
Aisee kumbe mambo yameiva tayari mhhh kura nampa Dad and Mum lol:teeth::teeth::teeth:
 
Mzee Nyani Ngabu pamoja na umaarufu na postings zote hizo mbona bado haujakuwa Premium Member?

Yakhe nadhani unahitaji miwani.....hebu rudi ucheki uone mimi ni member wa aina gani......

Kura vipi, ushanipigia?
 
Mimi niliyependekezwa kwa kura nyingi umeniweka wa mwisho katika orodha!! Kwa nini? Huo ndiyo uchakachuaje wenyewe sasa kwa sababu hiyo inawapa impression wapiga kura kuwa mimi ni wa mwisho na hivyo kuathiri au kuinfluence upigaji kura wao.

Nadhani ukiangalia vizuri Mods wamezingatia "alphabetic order" ya majina yenu!!
 
Wale ambao wangependa kusaidia kutoa zawadi naomba wawasiliane nami kwa PM au na Maxence.

Wakipenda wanaweza kutoa ahadi zao hapa, na JEC itawatafuta.
 
Wale ambao wangependa kusaidia kutoa zawadi naomba wawasiliane nami kwa PM au na Maxence.

Wakipenda wanaweza kutoa ahadi zao hapa, na JEC itawatafuta.
 
NN Kampeni hairuhusiwi. Huu uchaguzi tayari siyo "huru na haki"!

Jamani naomba msianzishe maneno yanayoashiria uvunjifu wa amani.

Kama vipi vipi JWJF na Vikosi vya Usalama wakiongozwa na Mnadhimu Mkuu itabidi watoe tamko.
 
Aisee kumbe mambo yameiva tayari mhhh kura nampa Dad and Mum lol:teeth::teeth::teeth:

Dad and Mum wako ni nani? Umeshatiwa wini kwenye vidole? Huruhusiwi kuchakachua kwa kupiga kura mara mbili.
 
Yakhe nadhani unahitaji miwani.....hebu rudi ucheki uone mimi ni member wa aina gani......

Kura vipi, ushanipigia?

Mkuu, ukitolewa nje tusije kulaumiana? Hili ni onyo la kwanza. Kampeni zilishakwisha muda wake, haziruhusiwi kipindi hiki. Let JF decide.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…