Gaijin yuko scientific, specific and precise.
Kura yangu nimempa yeye.
Naungana na wewe, hivi huyu member siyo Engineer kweli?
Yawezekana ni engineer au mathematician. Ila generally yuko very smart and well informed.
Pasco alistahili kuwania hii tuzo
ama kweli leo ni wikiendi- maana hadi sasa ni watu kama 24 tu waliopiga kura. Au JEC haikutoa elimu ya kutosha kwa voters nini?
PJ, duh! Kwanza ulikuwa wapi? Ungekuweko kwenye mchakato wa awali lazima ungeingia kwenye mtinange.
Mkuu, watu kiduchu kwa kuwa leo weekend nadhani. hata hivyo Mods kama wanaweza tunaomba wai-sticky ili wengi waione na kupiga kura.
Gaijin yuko scientific, specific and precise.
Kura yangu nimempa yeye.
I am disqualified already. Damn!!!
Lakini pouwa....lazima kuna mtu atanipendekeza kwa ile au zile ID zangu tofauti....
Mimi niliyependekezwa kwa kura nyingi umeniweka wa mwisho katika orodha!! Kwa nini? Huo ndiyo uchakachuaje wenyewe sasa kwa sababu hiyo inawapa impression wapiga kura kuwa mimi ni wa mwisho na hivyo kuathiri au kuinfluence upigaji kura wao.
Imefuatwa alphabetical order mdogo wangu..........
Hata hivyo hufai....
Go Kiranga, go....