Hawa waheshimiwa siwaelewi. ina maana hawataki kujadiliwa na kutathminiwa hapa jukwaani??
Ninawashauri wafikirie upya uamuzi wao. wanatuvunja mkono sisi washabiki wao.
Mkuu nimekupata.
Swali la kwanza wenyewe watajibu. Ila JEC imeona sababu zao ni za msingi.
Kuhusu mgombea binafsi, hii hoja ni ya nguvu na nadhani itabidi next time mtu awe na namna ya kugombea binafsi kama ana nia ya kugombea.
huyu kiumbe cjui ana matatizo gani,juzi kati alikua ananichokoa mimi nikampotezea,leo naona kahamia kwako,nimefurahi ulivyomjibu.
anatia huruma!
SUperman, kuhusu hoja ya mgombea binafsi kuna thread nimeianzisha na nataka uisome na kunipa majibu yanayoeleweka maana nimeanza process za kisheria.
tafuteni kazi za kufanya jamani. haya nayo ni madhara ya kukaa vijiweni! wenzenu wana "fursa nyingi nyingine zaidi ya hapa" hamjapata tu tu cha kujifunza katika maneno haya?
we supamani tafuta kazi za kufanya, time is maney. shauri yako usiposikia
Khe.... kumbe JS ni meni:wacko:1. JS - Kura 1
2. Acid - Kura 2
3. Kiranga - Kura 2
4. Mwanakijiji - Kura 2
5. Nyani Ngabu - Kura 3
6. Pasco - Kura 1
7. Mkandara - Kura 1
8. Superman - Kura 1 (Aliomba ajitoe mwanzoni kwani yuko JEC)
9. Malecela - Kura 1
10. Ivuga - Kura 1
Regia 28
Gaijin 29
Ngoma inogile. Hapa nu uadilifu wa JEC ndo itakayonusuru uvunjifu wa amani.
Kumuondoa mgombea wakati kura zimeanza si haki... hili zoezi limechakachuliwa aisee
Post yangu haikua na lengo la kuomba MMM ajitoe bali kusisitiza umuhimu, uzito na nafasi yake kwenye JF... sijui ilitafsiriwa vibaya au viuri
Ila naona hili zoezi tungelisitisha au MMM arudi ili kuhesimu waliompa kura... Naomba kuwasilisha hoja
tafuteni kazi za kufanya jamani. haya nayo ni madhara ya kukaa vijiweni! wenzenu wana "fursa nyingi nyingine zaidi ya hapa" hamjapata tu tu cha kujifunza katika maneno haya?
we supamani tafuta kazi za kufanya, time is maney. shauri yako usiposikia
Mheshimiwa mwenyekiti wa JEC.
Zimetimia siku tatu tangu nitoe malalamiko yangu kuhusu mmoja wa wagombea Bwana. NYANI NGABU... Kwa kuheshimu maamuzi na mapendekezo ya JEC kuwa inabidi huyu Bwana naye apewe nafasi ya kujitetea kabla JEC haijatoa hukumu na kwa kuzingatia na kuheshimu usawa, ilinibidi kuvumilia na kusubiri huku nikiwa na matumaini kuwa angalau huyu Bwana hata angekuja na kutoa tamko la kuwaomba radhi wana-JF aliowahi kuwaathiri kwa namna moja au nyingine. Mpaka dakika hii naona ameamua kukaa kimya hali inayonishawishi kuamini kuwa ameamua kupuuza agizo halali la JEC na kudhihirisha mojawapo ya sifa zake kuu: Dharau.
Hivyo basi, ninaomba kusikia tamko rasmi kutoka JEC juu ya malalamiko yangu pamoja na kitendo cha huyu Bwana kulipuuza agizo halali la JEC.
Vinginevyo nipate kuwasiliana na Wanasheria wenzangu ili tuamue nini kifanyike baada ya kusikia tamko halali la JEC.
Gaijin for JF Woman of the year. Nyani Ngabu for JF Man of the year.
Great thinker, sasa wewe mbona upo hapa. Isitoshe umepata hata muda wa kufikiria maneno ya huyo mdada na kuyafanyia uchambuzi..
Kweli kama ni kijambo kimepata mjambaji...