ajinyonge tu kwani uongo bana? tena nasikia yupo tempo ananengua twanga pepeta na kuimba solo maana mashauzi classic yupo likizoMimi hapo kwenye kucheza kiduku sijasema Kikiporomoka mie sipo kukutetea maana TF ana hasira za kihehe utashangaa badala ya kukugombeza wewe anaenda kujinyonga
ajinyonge tu kwani uongo bana? tena nasikia yupo tempo ananengua twanga pepeta na kuimba solo maana mashauzi classic yupo likizo
sometimes anapiga solo maana hawezi kunengua mwanzo mwishoHapa unatafuta ugomvi wa bure TF na kitambi chote kile ananengua si ni soo hiyo
sometimes anapiga solo maana hawezi kunengua mwanzo mwisho
pia ni designer wa wale wanaoitwa kanga moja ndembendebe kijana ana vipaji sanaNgoja nitaenda kwenye band hapo niangalie kinachoendelea
pia ni designer wa wale wanaoitwa kanga moja ndembendebe kijana ana vipaji sana
Yah!! Its one of the great songsAsante kaka I loooooooooove this song nimejipromise itakuwa first dance siku nikipata mume mwema!!
anapamba hadi mabibi harusi na kuwavalisha shangaMhhh kijana ana vipaji mbaya kabisa huyuNgoja nimtafute Si anajua kupamba pia kwenye sherehe hivi
sema tf siku hz hayupo tena kwenye mashairi hayo nasikia ni mcheza kiduku mashauzi classic
Mimi hapo kwenye kucheza kiduku sijasema
Kikiporomoka mie sipo kukutetea maana TF ana hasira za kihehe utashangaa badala ya kukugombeza wewe anaenda kujinyonga
ajinyonge tu kwani uongo bana? tena nasikia yupo tempo ananengua twanga pepeta na kuimba solo maana mashauzi classic yupo likizo
Hapa unatafuta ugomvi wa bure
TF na kitambi chote kile ananengua si ni soo hiyo
sometimes anapiga solo maana hawezi kunengua mwanzo mwisho
Ngoja nitaenda kwenye band hapo niangalie kinachoendelea
pia ni designer wa wale wanaoitwa kanga moja ndembendebe kijana ana vipaji sana
Mhhh kijana ana vipaji mbaya kabisa huyu
Ngoja nimtafute
Si anajua kupamba pia kwenye sherehe hivi
:confused2::confused2::confused2:anapamba hadi mabibi harusi na kuwavalisha shanga
:confused2::confused2::confused2: