Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,553
- 2,380
Haya ni matokeo ya jumla baadaya kupitia kila jukwaa, kila post, na maoni kadhaa niliyoyakusanya kwa PM. Washiriki ni members wote na kama nilivyosema awali kipimo ni post zao na reaction kutoka kwa member wengine. Kitu pekee ambacho ni maoni yangu binafsi ni hitimisho.
Mabibi na mabwana napenda kwa heshima na taadhima kumtangaza mshindi wa kipengele cha mwanachama wa Jamii forums mwenye msongo mkubwa wa mawazo na mgandamizo kwa mwaka 2012. Na mshindi ni ndugu:
Molemo :violin:
Hitimisho:
Kwa maoni yangu binafsi ushindi wa ndugu Molemo unatokana na kujivika vizigo la kutetea watu bila kujali misingi.
NB: taarifa hii haisuhu siasa wala haina uhusiano wa moja kwa moja na masuala ya kisiasa. Nimeiweka hapa kwa makusudi maalum.
Mabibi na mabwana napenda kwa heshima na taadhima kumtangaza mshindi wa kipengele cha mwanachama wa Jamii forums mwenye msongo mkubwa wa mawazo na mgandamizo kwa mwaka 2012. Na mshindi ni ndugu:
Molemo :violin:
Hitimisho:
Kwa maoni yangu binafsi ushindi wa ndugu Molemo unatokana na kujivika vizigo la kutetea watu bila kujali misingi.
NB: taarifa hii haisuhu siasa wala haina uhusiano wa moja kwa moja na masuala ya kisiasa. Nimeiweka hapa kwa makusudi maalum.