Jiajiri kwa kutengeneza kipato mpaka elfu 50 kwa siku

Jiajiri kwa kutengeneza kipato mpaka elfu 50 kwa siku

KingOligarchy

Senior Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
139
Reaction score
375
Habari wanajamvi,

leo nawaletea banda la biashara .
Banda hili sifa yake kuu ni movable, lina matairi! so unbaweza ukawa unaligogeza kwenye maeneo unayoyataka
lina jiko la Gas kama unavyoona, hvyo unaweza kupika kitu chochote
lina mchine ya kukata viazi, commercial chips cutter
lina potato spiral machine (Hapa ndo kwenye uzuri) ntawaelezea business model hapo chini
Lina Solar , unaweza chaji chochote
Lina mfumo wa taa 5 zilizofanyiwa wiring vizuri

Gharama ya banda hili ni tsh 1,500,000.00 ( non negotiatable* hapa nimepunguza bei kutoka ya awali )
Mawasiliano: +255 742 77 77 68 (whatsapp only )

WhatsApp Image 2021-08-16 at 09.00.40.jpeg

WhatsApp Image 2021-08-16 at 09.00.41.jpeg

WhatsApp Image 2021-08-16 at 09.00.37.jpeg
WhatsApp Image 2021-08-16 at 09.00.40.jpeg
WhatsApp Image 2021-08-16 at 09.00.36.jpeg


Biashara unayoweza ukafanya

Potato spiral

1629961520646.png


Hii ni biashara nzuri sana , ambapo kwa kutumia hiyo machine nayokupa inakata kiazi kimoja na kujaa kama mshikaki, ambapo pia unaweza ukaweka na sausage.

sehemu za kishua unaweza kuuza kw tsh 1000 , kwahiyo kwa pisi 30 kwa siku utakuwa na 30,000 lakini pia ukipata sehemu zenye watu wengi sana pisi moja unaweza uza tsh 5,00 . kuanzia asubuhi mpaka jioni ukiuza pisi 100 utakuwa na ghafi ya 50,000 (inategemea na eneo). Kwahyo itakuwezsha kutengza kipato kizuri na kujiajiri

ANGALIA MFANO:

COMMERCIAL MACHINE CUTTER
Hii machine husaidia kukata viazi , unaweza ukauza chps fasta kwa kukata viazi fasta
ina viwembe vya size tofauti tofauti
ona mfano:
 
Kioski kinauzwa 1,500,000

Kwa mpango ulioelezewa hapa wa 50,000 kwa siku.

50,000 x siku 30 = 1,500,000

Hii inamaanisha muuza kioski akiamua anaweza kufanya mwenyewe hii biashara na akawa anaipata 1,500,000 kwa muendelezo na siyo mara moja tu baada ya kuuza kioski.
 
Kioski kinauzwa 1,500,000

Kwa mpango ulioelezewa hapa wa 50,000 kwa siku.

50,000 x siku 30 = 1,500,000

Hii inamaanisha muuza kioski akiamua anaweza kufanya mwenyewe hii biashara na akawa anaipata 1,500,000 kwa muendelezo na siyo mara moja tu baada ya kuuza kioski.
NDIO NI SAHIHI, endapo ukipata eneo bora mauzo yanaweza yakawa zaidi ya hapo , na kama ukipata eneo dhaifu mauzo yaweza yakawa chini.
kuhusiana na swala la kuuza ni kwamba muuza kiosk ameventure kwenye something else! hana muda wa kufuatilia.
 
This is very nice ! 👍🏾👍🏾👍🏾
 
Ni nanda zuri ila mahesabu usingepiga, hiyo 50 unayoizungumzia ni ya mauzo tu, hujatoa gharama nyinginne, viazi, mafuta, tomato, pilipili, kachumbari, GAS na mazagazaga mengine..

Ila ni idea nzuri ya ujenzi.
 
Ni nanda zuri ila mahesabu usingepiga, hiyo 50 unayoizungumzia ni ya mauzo tu, hujatoa gharama nyinginne, viazi, mafuta, tomato, pilipili, kachumbari, GAS na mazagazaga mengine..

Ila ni idea nzuri ya ujenzi.
SAHIHI, with least expectation sema hata unapata 20k per day au 15k per day.
20k............600k monthly
15k............. 450k monthly
10k.............. 300k monthly

ROI: within six months lazima uwe umerudisha capital.

Anyways, kikubwa ni kuwa nauza banda, numbers are here just to show projections on what you can get.

kudos brother & Sisters!
 
Back
Top Bottom