Ji’an, Jiangxi China: Mawingu ya rangi angani

Ji’an, Jiangxi China: Mawingu ya rangi angani

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Agosti 24, 2022, huko Ji’an, mkoani Jiangxi, China, “mawingu ya rangi” ambayo umbo lake linaonekana kama UFO yalionekana angani.
VCG111397876471.jpg
 
Hii picha mwanangu kideli aliipiga tu babuu si unajua stimu zilimzidi kideli😂😂
 
Sasa Hayo Mawingu Yana Jipya Lolote Ama Kawaida Tu
 
Kila jambo la kushangaza linatokea U.S au China, ina maana Tanzania hawakujui?
 
Kila jambo la kushangaza linatokea U.S au China, ina maana Tanzania hawakujui?
Ni kutokana na uchafuzi wa mazingira uliokithiri anga zao zinakuwa na chemicals zinazosababisha yote hayo. Kimazingira sio kitu cha kutamani kitokee Tanzania.
 
Back
Top Bottom