L ldleo JF-Expert Member Joined Jan 9, 2010 Posts 1,116 Reaction score 1,121 Aug 26, 2022 #1 Agosti 24, 2022, huko Ji’an, mkoani Jiangxi, China, “mawingu ya rangi” ambayo umbo lake linaonekana kama UFO yalionekana angani.
Agosti 24, 2022, huko Ji’an, mkoani Jiangxi, China, “mawingu ya rangi” ambayo umbo lake linaonekana kama UFO yalionekana angani.
Killa Cam JF-Expert Member Joined Jun 12, 2022 Posts 2,264 Reaction score 6,679 Aug 26, 2022 #2 Hii picha mwanangu kideli aliipiga tu babuu si unajua stimu zilimzidi kideli😂😂
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Aug 26, 2022 #3 Sasa Hayo Mawingu Yana Jipya Lolote Ama Kawaida Tu
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Aug 26, 2022 #4 Kumbe mawingu nkajua mvua.
mjanja wa kijiji JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 1,582 Reaction score 4,378 Aug 26, 2022 #5 Kila jambo la kushangaza linatokea U.S au China, ina maana Tanzania hawakujui?
dudus JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 23,782 Reaction score 54,213 Aug 26, 2022 #6 mjanja wa kijiji said: Kila jambo la kushangaza linatokea U.S au China, ina maana Tanzania hawakujui? Click to expand... Ni kutokana na uchafuzi wa mazingira uliokithiri anga zao zinakuwa na chemicals zinazosababisha yote hayo. Kimazingira sio kitu cha kutamani kitokee Tanzania.
mjanja wa kijiji said: Kila jambo la kushangaza linatokea U.S au China, ina maana Tanzania hawakujui? Click to expand... Ni kutokana na uchafuzi wa mazingira uliokithiri anga zao zinakuwa na chemicals zinazosababisha yote hayo. Kimazingira sio kitu cha kutamani kitokee Tanzania.